Dah ule usemi wa kwako mwl.kashasha sijui kama utaendelea kwepo
Mchambuzi nguli wa habari ya michezo maarufu kama mwalimu Kashasha amefariki dunia hivi punde alipokuwa amelazwa hospitali ya Kairuki.
Chanzo mimi mwenyewe niko eneo la tukio...
Tangulia mtaalamu wa uchambuzi, njia yetu sote ni moja.
Mchambuzi nguli wa habari ya michezo maarufu kama mwalimu Kashasha amefariki dunia hivi punde alipokuwa amelazwa hospitali ya Kairuki.
Chanzo mimi mwenyewe niko eneo la tukio...
Good luck mkuu,hakuna linaloshindikana chini ya Jua,nina ndoto ya kuja kuwa kama yeye nipo njiani kutimiza hilo, R.I.P
Uzazi ndio zaidi...usiogope.Aiseee!!!
Vifo kila uchwao
Pumbavu wewe umeleta mabadiliko gani!Ukiondoa kuburudisha watazamaji na wasikilizaji, hivi huyu Kashasha kaleta mabadiliko kwenye soka hapa nchini?
Rip
Apumzike kwa Amani
Ni Kwa Verified Member OnlyHiyo blue tick inapatikanaje