Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,492
- 40,024
- Thread starter
- #21
Nilishaandika zamani sana kuwa "Wahindi na Waarabu/Wairan waachiwe na au tumallizane wenyewe au tusameheane wenyewe. Kuonea Ngozi nyeupe wakati SERIKALI ni sisi, huu ni upuuzi wa ajabu.
Tusubiri tu siku akaja KICHAA. Kuanzia Mzee anayetakiwa apumzike kwa amani na hadi wanaopigia debe kuwa Mzee apumzike kwa amani, itabidi wajengewe vyumba Keko. Kama Malawi nao wamempandisha Rais wao, Zambia walifanya hivyo, hii ni habari ambayo siku moja Tanzania itafika. Heri wajifunza sheria za wacheza kamali yaani "Lazima ujuwe muda wa kukimbia meza ya kamali". Kama hujui, basi utaishia pabaya!!!!
maneno mazito..