Jamaa wa Richmond wameshaoiga mkwala kuwa mitambo yao lazima inunuliwe otherwise watamwaga Mtama kwenye kuku wengi kitu kinachohatalisha utawala wa CCM.
Hizi mbio zote ni kutetea utawala wa CCM otherwise hakuna kitu cha maana wanachojairibu kufanya. kwanini tununue mitumba wakati tunaweza kununua vipya, kila kitu mitumba ndege ya rais, rada, na vingine alivyotaja mdau huko juu, hii haingii akilini kwanini hatupendi kununua vitu vipya hata kama ni ghari, kama haiwezekani kununua si bora tuache tu.
Mimi nilikuwa nawashauri CCM kama wananweza kutangaza kuwa CCM ilitumia pesa za wananchi kwenye uchaguzi halafu wakajiudhuru wote ukaitishwa uchaguzi mpya, najua watapata credit zaidi na watarudi madarakani kuliko hii mipira yao ya paka na panya kila siku.
Hizi mbio zote ni kutetea utawala wa CCM otherwise hakuna kitu cha maana wanachojairibu kufanya. kwanini tununue mitumba wakati tunaweza kununua vipya, kila kitu mitumba ndege ya rais, rada, na vingine alivyotaja mdau huko juu, hii haingii akilini kwanini hatupendi kununua vitu vipya hata kama ni ghari, kama haiwezekani kununua si bora tuache tu.
Mimi nilikuwa nawashauri CCM kama wananweza kutangaza kuwa CCM ilitumia pesa za wananchi kwenye uchaguzi halafu wakajiudhuru wote ukaitishwa uchaguzi mpya, najua watapata credit zaidi na watarudi madarakani kuliko hii mipira yao ya paka na panya kila siku.