Mwachieni Gire, nunueni mitambo ya Dowans!

Tunajificha kwenye VALUE FOR MONEY ili ku conceal our real intentions na kwenye hili tusidanganyane. Value for money haipo kwa sababu tunadeal na kampuni ambayo hatuielewi vizuri, na kwenye biashara huwa kuna kitu kinaitwa goodwill.

Ikiwa tulishakubali kuwa mkataba na Richmond ulikuwa illegal, na transfer ya asset kutona Richmond kwenda Dowans ilikuwa illegal, kwa nini tusitie shaka kile tunachoelezwa na Dowans hata kama Dowans ni kampuni halali?

Tunatumia Nguvu aliyotumia Mramba kutetea ununuzi wa Ndege ya rais. Hapa tuna kila sababu ya kutojiingiza kwenye Mradi huu. Sababu ni kuwa Asset yenyewe tunayonunua imezungukwa na wingu la Kutoaminika kutokana na hizo deals mbili zote kuwa illegal.

Sasa tukiununua huo mtambo ukagundulika baadaye kuwa na matatizo huyu Dowans ambaye tayari ameshajihusisha na mkataba illegal wa kununua mali kinyume na taratibu kutoka kwa Kampuni isiyokuwepo, tutamlaumu nani?

This is a shit na Zitto you are in it! Huwezi kujitoa kwenye uozo huu kwa kutumia kigezo cha value for money. HAKUNA VALUE FOR MONEY UNAPODEAL NA MTU AMBAYE HAAMINIKI. DOWANS HAAMINIKI KWA SABABU AMESHIRIKI ILLEGAL DEAL NA RICHMOND. HIVI HAKUNA WATAALAM WA MIKATABA HAP??? WE ARE ALL LOST!!!
 
Tatizo hapa tunadeal na kampuni fake from the beggining! Ambayo kikawaida haina CREDIBILITY ya kudeal na serikali yetu! Tayari tumeshajua kwamba hii kambuni haiko HONESTY. Simple! Harafu tatizo la umeme ni continuous..kwa hiyo hapa tunaahirisha matatizo baada ya kuyakabili.

WAAFRIKA KINACHOTUPONZA NI KUPENDA SHORT CUT. "BURE NI AGHALI" Hivi leo wakinunua hizi mashine kwa kukiuka taratibu na kutumia "value for money" watashindwa nini kuvunja sheria nyingine kesho kwa kisingizio cha "maslahi ya taifa"? Na mitambo ikifa baada ya mwaka mmoja..nani atawajibika? si ni sisi walipa kodi? Mimi nawaambia kitu kimoja, tunaweza kubishana hapa tukatofautiana kimtizamo, lakini ukweli ni kwamba serikali inafanya kosa kubwa sana kununua mitambo kwenye kampuni ambayo iliwalaghai na kuingia mkataba feki na baada ya hapo ikagundulika kwamba kampuni ilikuwa ni kampuni hewa na kibaya zaidi kampuni hiyo hiyo imewashtaki serikali!

MAKE NO MISTAKE HAPA SIYO SWALA LA LOWASSA AU ROSTAM..... ITS JUST A MATTER OF BEING CANDID AND PRINCIPLED! Hivi kuna ambaye ameshafikiria zile MILLION 152 ZA RICHMOND (FOR TWO YEARS) ZILIISHIA WAPI? AFTER ALL KAMA KWELI TUNATAKA VALUE FOR MONEY KWA NINI TUSITANGAZE TENDA MAKAMPUNI YAKATUMA MAOMBI? KWA NINI DOWANS WAPEWE UPENDELEO? HIYO EMERGENCE IKO ACUTE KIASI GANI? TANGU TUANZE KUVUTANA KUHUSU HII MITAMBO NADHANI HATA KAMA NI KUINUNUA HIYO MITAMBO TOKA SAYARI YA PLUTO INGEKUWA IMESHAFIKA HAPA BONGO!

Solution: INABIDI RACE YETU WAAFRIKA IANGAMIE YOTE IZALIWE NYINGINE. PERHAPS WE CAN SAVE THE WORLD OF THIS PERPERTUAL EMBARRASMENT!
 
Tatizo hapa tunadeal na kampuni fake from the beggining! Ambayo kikawaida haina CREDIBILITY ya kudeal na serikali yetu! Tayari tumeshajua kwamba hii kambuni haiko HONESTY. Simple! Harafu tatizo la umeme ni continuous..kwa hiyo hapa tunaahirisha matatizo baada ya kuyakabili.

WAAFRIKA KINACHOTUPONZA NI KUPENDA SHORT CUT. "BURE NI AGHALI" Hivi leo wakinunua hizi mashine kwa kukiuka taratibu na kutumia "value for money" watashindwa nini kuvunja sheria nyingine kesho kwa kisingizio cha "maslahi ya taifa"? Na mitambo ikifa baada ya mwaka mmoja..nani atawajibika? si ni sisi walipa kodi? Mimi nawaambia kitu kimoja, tunaweza kubishana hapa tukatofautiana kimtizamo, lakini ukweli ni kwamba serikali inafanya kosa kubwa sana kununua mitambo kwenye kampuni ambayo iliwalaghai na kuingia mkataba feki na baada ya hapo ikagundulika kwamba kampuni ilikuwa ni kampuni hewa na kibaya zaidi kampuni hiyo hiyo imewashtaki serikali!

MAKE NO MISTAKE HAPA SIYO SWALA LA LOWASSA AU ROSTAM..... ITS JUST A MATTER OF BEING CANDID AND PRINCIPLED! Hivi kuna ambaye ameshafikiria zile MILLION 152 ZA RICHMOND (FOR TWO YEARS) ZILIISHIA WAPI? AFTER ALL KAMA KWELI TUNATAKA VALUE FOR MONEY KWA NINI TUSITANGAZE TENDA MAKAMPUNI YAKATUMA MAOMBI? KWA NINI DOWANS WAPEWE UPENDELEO? HIYO EMERGENCE IKO ACUTE KIASI GANI? TANGU TUANZE KUVUTANA KUHUSU HII MITAMBO NADHANI HATA KAMA NI KUINUNUA HIYO MITAMBO TOKA SAYARI YA PLUTO INGEKUWA IMESHAFIKA HAPA BONGO!

Solution: INABIDI RACE YETU WAAFRIKA IANGAMIE YOTE IZALIWE NYINGINE. PERHAPS WE CAN SAVE THE WORLD OF THIS PERPERTUAL EMBARRASMENT!

Nyani umemuona kaka yako Masanja anavyosema......inauma lakini.....kuna ka ukweli ndani yake
 
Nyani umemuona kaka yako Masanja anavyosema......inauma lakini.....kuna ka ukweli ndani yake

Unajua nini Ogah.? Mimi nimeshasema kama sisi Miafrika tungekuwa na uwezo wa kuunda na kutengeneza mitambo yetu wenyewe hili tatizo la umeme lingekuwa limebaki simulizi tu! Kila mkoa au labda wilaya au miji ingekuwa na taratibu na mipangilio yao kivyao vyao ya jinsi gani ya kuzalisha na kusambaza umeme kama ilivyo hapa Marekani.

Kwa hiyo wanaobisha kuhusu shortcomings za Miafrika na wabishe tu lakini ukweli kamwe siku zote hubaki kuwa ukweli hata mtu aukataeje!
 
WAPI? AFTER ALL KAMA KWELI TUNATAKA VALUE FOR MONEY KWA NINI TUSITANGAZE TENDA MAKAMPUNI YAKATUMA MAOMBI? KWA NINI DOWANS WAPEWE UPENDELEO? Solution: INABIDI RACE YETU WAAFRIKA IANGAMIE YOTE IZALIWE NYINGINE. PERHAPS WE CAN SAVE THE WORLD OF THIS PERPERTUAL EMBARRASMENT!

Nakubaliana na wewe kabisa. Best Value for money utaipata tu wakati utakapotangaza tenda.
 
Hii Ilikuwa Februari 2009....

Arooooo from 2009 todate.Hii issue imefikia wapi??? Ngeleja alisema mgoa wa umeme utakuwa historia ila hakutoa timeline. isije ikawa ni 2020.

JK anasema mgao wa umeme ni changamoto. Changamoto gani imekosa solution utadhani ni mafuriko au tetemeko la ardhi.

Serikalii hii hii inasema ina sera ya kupeleka umeme vijijini
Serikali hii hii ina umeme wa mafungu
Serikali Hii Hii ya CCM inataka kuvuti wawekezaji wakati gharama za tanesco SADC nzima.

Nina swali ?
hivi huko Migodini wanazalisha umeme wao au wananunua huu huu umeme wa TANESCO kwa bei hii hii tunayonua wadanganyika?

Ngeleja kazi kwako.
 
Well, kuna wakati inabidi tuseme tu kuliko kuzungushana kwenye huu utando wa buibui wa ufisadi. TUmekuwa kama kumbikumbi, na kama vipepeo tumenaswa na wao wanatuchezea tu.. kama paka aliyeshiba anavyomchezea chezea panya aliyechoka kukimbia!

Sasa naomba tulimalize hili la Richmond/Dowans:
a.) Bw. Gire aachiliwe kwani tayari tunanyajua kampuni yake ilikuwa feki na kama maelezo ya jana yana dalili yote "upepelezi bado unaendelea". Sasa huu upepelezi wa miaka mitatu nadhani unatosha, na kwa vile hakuna ushahidi (msiniulize kwanini walimfungulia kesi kama hawakuwa wamekamilisha upepelezi au walikuwa wanakaribia kuukamilisha).

b.) Mitambo ya Dowans hatimaye tutainunua kwa vile tunapaswa kuinunua kwani kutoinunua haiingii akilini wakati "ipo tu pale"! Mitambo hii haiendi kwa mtu yeyote binafsi na matatizo ya umeme yanayokuja mwezi wa nne itakuwa ni ushahidi kuwa ni "bora" tuinunue tu!. So why not buy them!?

Sasa tumefikia kamati mbili za Bunge, Wizara, na wengine tunaanza kurushiana utadhani Taifa zima linacheza "Ready". Mara mpira huku, mara kule, huku mafisadi wanakwepa katikati wakiendelea kujaza chupa yao mchanga wa utajiri wa nchi yetu!, so why not just buy them, wapeni hizo fedha (kwani zipo nyingi tu). Tulimalize?

c.) Kwa vile hakuna mtu mwingine atakayepelekwa makahamani kwani muda unapita na mwisho mambo ya statutes of limitations inaweza kuingia kwenye baadhi ya mashtaka, kwanini tusiamue tu kusema "screw it" wameshajiuzulu watu (wakapewa mafao yao) na Richmond haipo tena.. so tulifunge tu.
Kimsingi, hatuwezi kulimaliza hili la Richmond na Dowans isipokuwa kwa kufuta hii kesi moja, kununua mitambo ya Dowans, kuwalipa kina Rostam na washiriki wake, halafu tumaliize yaishe. Hatuwezi kama taifa kuendelea kupiga kambi kwenye hili bonde la kashfa miaka nenda rudi. Hili la Dowans tulimalize, tujue limekwisha kuliko kuzunguka zunguka utadhani watoto wanaocheza "ukuti ukuti!"

Then, tutaangalia haya mengine, haya mambo ya kuzugana kwa kweli wakati mwingine inabidi tukubali tu yaishe!

Ni takribani miaka miwili sasa tangu MMM azungumze haya.
Kweli inabidi nirudi kijijini kwani ndiko kwenye busara.
 
Inafurahisha kusoma hii thread yako MMM na ni wazi kuwa huo (kununua mitambo ya Dowans) ungekuwa uamuzi wa busara especially kulinganisha na double whammy ya sasa yaani mgao unaondelea na kulipa fidia...Tanzania tumezidi siasa na longolongo bila kuangalia maslahi ya umma.

Mikataba mibovu tangia mwanzo mwisho wake ndio huu. Hapa ni lazima uangalie sheria na sheria ifuate mkondo ndio maana ya utawala bora, na si kuridhisha matakwa ya wengi 'not a popular contest'.

Tuangalia tangia mwanzo mkataba wa Richmond ulikuwa na walakini, popular demand na ushabiki wa kisiasa pamoja na common sense tukadai haki yetu na kweli EL na wenzie ikabidi wawajibike, so far so good...

Baadae swala likaja hii mitambo pamoja na huu mkataba ambao tayari Tanesco na Serikali ilishaingia na hivyo basi kisheria kuufanya uwe halali, nini cha kufanya?

Hapa mi nafikiri ndio uchemshaji mkubwa ulitokea tuangalia baadhi ya majadiliano ya wakati ule ambayo kwa ukweli ni bora kuliko hapo tulipo sasa.

Tanesco kwa kupitia Idrissa Rashid walipendekeza Serikali inunue hiyo mitambo ya Richmond (ambayo sasa imerithiwa na Dowans) na kukubaliana na dowans jinsi ya kumaliza mkataba wao, nafikiri Tanesco walikadiria mitambo hiyo kuwa na thamani ya $ 50 - 60mil. Nakumbuka Zitto nae na baadhi ya watu waliunga mkono wazo hili mimi nikiwa mmojawapo. Sababu kuu mbili, mosi kuwa Tanesco ingepata uwezo wa extra 100 MW ambazo wangeunganisha na gesi ambayo tayari tunayo na ipo Ubungo. Pili Tanesco na Serikali wangekubaliana kuwa hiyo ni part ya kuumaliza huo mkataba na huo ndio mwisho wa hii saga na hitimisho kamili kwa huu mkataba ambao kwenye macho yetu wengi uliingia kimizengwe.

Kina Sitta na kambi ya kupinga ufisadi ikaja juu na kusema hilo haliwezekani, not ethical...sawa sasa mnatowa wazo gani? hoo twende tukadai haki yetu mahakamani...Sasa mahakama imetoa uamuzi obviously tumechemsha mbaya!!

Tatizo lipo hapo ni wazi kuwa hawa jamaa(Dowans) watashinda maana mkataba unawalinda nina uhakika SS na wanasheria wengine walikuwa wanalijua hilo ama ndio hiyo ninayoita ushabiki wa kisiasa bila kuangalia maslahi ya jumla ya umma...

Viongozi wetu wangesimama imara na kusema tumalizane kiutu uzima na kwa uwazi na Dowans, tutanunua (kutaifisha) mitambo yenu na nyie tutawalipa kwa bei ambayo ni fare kulingana na hali ya mitambo yenu .( It is rubish kusema kuwa eti serikali hainunui mashine mitumba mbona ATC, TRC, JWTZ pamoja na Tazara kila siku wananunua ndege, mabehewa na vipuri mitumba uliza yeyote atakwambia). Walishindwa kufanya hivyo Ngeleja akiogopa kuambiwa amewekwa mfukoni na mafisadi ilhali JK alikuwa bize nje ya nchi.

Sasa leo ooh kulipa hii faini according to SS ni '...sawa na kuhujumu uchumi' , fine what is your solution...we had our chance and blown it, ni wazi lazima tukubaliane na mahakama, kama kukata rufaa ni bora waangalie huo mkataba kwa undani na kama ni wazi kama Werema anavyodai kuwa uwezekano wa Tanesco kushinda ni mdogo we better cut our loses and move on. Huu ndio ukweli ingawa unauma.

Ila lazima mtu awajibike kama ilivyotokea kwa EL na sasa tunataka Ngeleja aeleze umma imekuwaje mpaka tumefika hapa? na achukue virago vyake.

Meanwhile Dar tuna mgao wa umeme na Ubungo (also in Dar) kuna mitambo ya 100Mw iko idle. Does that make sense to anybody?
 
Ni takribani miaka miwili sasa tangu MMM azungumze haya.
Kweli inabidi nirudi kijijini kwani ndiko kwenye busara
.

Sometime post za Mwanakijiji ni kama utabiri wa yale yajayo........kwa hali inavyokwenda, fidia tutawalipa na mitambo tutanunua..........maybe kama wangefata ushauri wako leo hii tungekuwa tushayasahau haya na kudeal na mengine........lakini nearly two years later, habari ni ileile mithili ya watoto wanaocheza ukuti-ukuti wa mnazi!
 
Hili la Dowans tulimalize, tujue limekwisha kuliko kuzunguka zunguka utadhani watoto wanaocheza "ukuti ukuti!"

Then, tutaangalia haya mengine, haya mambo ya kuzugana kwa kweli wakati mwingine inabidi tukubali tu yaishe!

Kutekeleza pendekezo lako ni kufunua sufuria la mengine. Hao hao mafisadi walioshika watawala wetu pabaya wataleta lingine kubwa kuliko haya. Dawa ni kukomaa kuwatia adabu watawala wetu kwa mbinu zo zote. Moja wapo mijadala, maandamano, kuhudhuria makongamano yao na kuwapaka; Zaidi, zaidi kuamsha uelewa wa Watanzania ambao bado uko chini uchukie uovu wao.
 
Back
Top Bottom