ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,922
- 3,912
Tayari nimelipia Jana. Nasubiri tuu maangamizi.


, yangu macho , nitakuwa nafatilia commets zako kimyakimyaTayari nimelipia Jana. Nasubiri tuu maangamizi.


, yangu macho , nitakuwa nafatilia commets zako kimyakimyatuko pamoja kwa hili mkuuHahahhahahaha.....nimeipenda hii
Ikitokea CCM Stars wanaifunga Algeria itakuwa miracle na ajabu la dunia.
Nakula nae sahani moja..hahaha rafiki ako mwenyewe Daudi Albert



.Jana alienda kuwanunulia viatu wachezaji kwenye malls za Cairo.. Sasa sijui IPO kwenye program ya kocha ama ...!!Hivi Bashite hajarudi TZ bado?
Ngoja afanye press tuone kama ataendelea kuongea ujinga tena.
Naungana na ww ktk Maombi....Amina Mungu atatendainafurahisha hata mataifa tuliyodhani yana matatizo ya kisiasa na kikabila kama vile algeria na kenya kutumia yanayoendelea huko misri kuleta umoja wa kitaifa na kuwa kitu kimoja ila hali hiyo ni tofauti hapa kwetu ambapo tusio wana ccm tumetangaziwa wazi kwamba ile team ya wendawazimu ambao kila mtu anajifunzia kunyoa haituhusu
kesho wendawazimu hao wanaenda kukutana na mbweha the fox wa jangwani toka algeria,mara ya mwisho wendawazimu hao wa lumumba walipigwa 7-0
Naomba nichukue nafasi kumuomba Mungu awabariki Algeria wapige goals 9-0 hapo kesho.Amen.
tuko pamoja kwa hili mkuu
Hapana yupo anasaini viatu vya wachezaji utadhani yeye messi au ronaldo kakutana na fans wakeHivi Bashite hajarudi TZ bado?
Ngoja afanye press tuone kama ataendelea kuongea ujinga tena.


ya mungu mengi mtarajiwa;
Vijana wamenunuliwa njumu za adidas, kesho watakichafua kweli kweli
Hahahahhahaahahha nitakublock, yangu macho , nitakuwa nafatilia commets zako kimyakimya


lawama atatoa kwa wapinzani wa serikali na kusema ndio chanzo cha taifa stars kukanyagwa goli 3Ninahamu aongee ili nijue anaomba msamaha au anaongea pumba gani tena.
Hahahhahaa...final mnaanza lini
.au mmeanza...karibu kitaani
Hapana yupo anasaini viatu vya wachezaji utadhani yeye messi au ronaldo kakutana na fans wake![]()
sijui ni week ijayo, sina ratiba niandalie mazingira mkuu una moyo safi sana hahhaha
goals 3 kwa wale wendawazimu wanaomfata bashite mkiani kama makondoo anawanunulia viatu na kuwasainia itakuwa ni ushindi mkubwa kwao,watakula 9-0 Mungu wa yakobo atasikia maombi yetu kwa hili maana kule hakuna jecha wala policcm wala tume ya uchafuzilawama atatoa kwa wapinzani wa serikali na kusema ndio chanzo cha taifa stars kukanyagwa goli 3
Itakuwa Kama Popo Kumnyea MunguIkitokea CCM Stars wanaifunga Algeria itakuwa miracle na ajabu la dunia.
hahaha; kwanini mnapenda mnyong'onyesha brother wangu lakini Mr Daud Albert.Mungu yuko upande wa Algeria 😂
hahah hutaki kunipa assist?Hahaha.kwendraaa
Hahaha, kosa langu nini?. Bac mfate bashite ukamuchambe PM au inbox ya instagram/tweeter.Hahahahhahaahahha nitakublock![]()


