omari londo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 1,793
- 1,776
Sio kwa AlgeriaMara pap ccm wameshinda aisee
But mm hayanihusu
Sio kwa AlgeriaMara pap ccm wameshinda aisee
But mm hayanihusu
Usisahau kutuwekea ahadi na kesho kama ile juzi.Amen mkuu
Mungu atasaidia kipigo cha mbwa koko kwa wanaCCM
Sanchez magoli kesho CCM mkishinda nikupe nini?
Hahahha Subiri tuoneSio kwa Algeria
Usisahau kutuwekea ahadi na kesho kama ile juzi.
What if CCM wins tomorrow ?Matokeo mbona yapo wazi...Algeria wins
You are very right brother ,inaonyesha Leo tukiweka tume huru ya uchaguzi chichiem hawapati hata robo ya kuraNimesoma 50% ya comments. Katika comments nilizosema nimegundua 98% ni againist CCM. Conclusion ni kuwa kumbe watu wanachuki kubwa sana dhidi ya CCM wamezitunza tu rohoni.
What if CCM wins tomorrow ?
Hatutaweza kuwa na ushahidi wa moja kwa moja, maana unaweza kuja na ID mpya au ukawa unatembelea nyuzi mbali mbali humu kama guest.Najipa life ban
Hatutaweza kuwa na ushahidi wa moja kwa moja, maana unaweza kuja na ID mpya au ukawa unatembelea nyuzi mbali mbali humu kama guest.
Maana maisha bila JF hayawezekani kabisa. Kuna watu usipoona nyuzi zao week tu unaumwa.Dah kweli asee 😅
Walipa kodi tunaumiaje? Na hao stars wakishinda tunafaidikaje?wanaoumia ni walipa kodi sio bashite Wala taifa staz .
Hawezi kurudi amuache mzibua mtaro wake peke yake. Laana kwenye kambi ya hiyo ccm stars.Hivi Bashite hajarudi TZ bado?
Ngoja afanye press tuone kama ataendelea kuongea ujinga tena.
*tusimsumbueBabu[emoji23][emoji23]kwahiyo tuaimsumbue Mungu.