Zee kama lile barua ya nn ata bikira ya mku ndu sizani km ipo maana warabu kwa kupenda ndogoAndika barua tuangalie sifa zako kwanza.
Pole kwa waliopoteza ndugu na jamaa October 29/2025Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Na Mzee Warioba naye leo kapata changamoto ya kiafya akiwa jukwaani, na jana Shehe ubwabwa Mwaipopo katishiwa maisha na Mwigulu.Na lissu alipigwa risasi siku kama ya leo, hvy kuanzia sasa, hizi tarehe zitakuwa na jambo 😂
Ni Bora anaeshangilia kifo kuliko anaeaua watu zaidi ya 500+ kwa mujibu wa report zee liongo lijaji chandeKushangilia kifo cha binadamu kama wewe,wenye njia ile ile ni uwehu,siku zetu zi chache mno hapa duniani.
Labda angekufa Kikwete angeumia sana.Atakuwa anafurahia. Sidhani kama alikuwa anam-regard kama mwenza tena.
KIFO NI KIFO TUR.I.P Mzee Hafidhi Ameir🌹
Bakhresa atoe boti za bure kwenda MsibaniWale wa zanzibar tunaelewa location.
Yes,KIFO NI KIFO TU
Acheni kumpangia Mungu ujinga.Mungu amuweke mahali pema Peponi
Mwanangu niliyemzaa tumboni🥹
Kumbe alikuwa mwenza sio mume? Mume ni nani sasa au mume ni Kitwete?taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Hizi ni habari njema sana. Asante Mungu. Ngoja naye aone uchungu wa kufiwa.
Kifo ni Kifo. Hata yeye alifurahia kifo cha Ally KibaoWagalatia bana wanafurahi msiba 😂
Washaanza tayariRIP Baba,
Mungu asaidie Ma-GenZ wasiropokwe!