kikwete ana zaidi ya hiyo lakini bado mnasema anawa control.Yaan watu ni wajinga sana unacheka kifo, mume wa rais ni over 70, sasa hapo unashangilia nini
Kosa lake ni mkewe kuwaua watanganyika MO29.Kosa lake lipi kwenye akili yako???
Unatoa mawaidha kumbe unajua hilo.Kushangilia kifo cha binadamu kama wewe,wenye njia ile ile ni uwehu,siku zetu zi chache mno hapa duniani.
Kila mtu atalamba mchanga 😂Na Mzee Warioba naye leo kapata changamoto ya kiafya akiwa jukwaani, na jana Shehe ubwabwa Mwaipopo katishiwa maisha na Mwigulu.
Wewe ndio huwa huwa unajiita game changer?Kipaumbele changu kikubwa katika huu Msiba ni kumuangalia Mstaafu Kikwete kama atalia Machozi ya Kweli au atalia yale Machozi ya Mamba tu pekee. Tafadhali sitaki kuulizwa swali lolote kwanini nimeandika hivi ila kwa wenye Akili kubwa nina uhakika wa 100% kuwa watakuwa wameshanielewa.
R.I.P Mzee na Pole kwa Mfiwa.
إMume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hasإ
إنا لله وإنا إليه راجعونMume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Kifo ni kifo tu! Wewe kinakuuma nini? Waliuliwa watanganyika 1000 hukuumia lakini leo anakufa mla urojo mmoja unajifanya kuumia. Grow up dude. Growing up doesn't mean growing horns.Wagalatia bana wanafurahi msiba 😂
Khah! Haiwezekani!!!!1Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Mungu msaidie huyu baba apone haraka
Kifo ni Kifo. Hata yeye alifurahia kifo cha Ally Kibao
Kaso ndio Nini?Yule mzee kaso lake lipi kwenye akili yako???
Nilianza kufurahi nilipoona anatangaza Makamu wa Rais nikajua mambo safi .Kumbe off tagetMume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Ulidhani ni JK tuKumbe Samia Suluhu Hassan alikuwa na mume? 😳