peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 16,878
- 28,412
Atakuwa anafurahia. Sidhani kama alikuwa anam-regard kama mwenza tena.Hizi ni habari njema sana. Asante Mungu. Ngoja naye aone uchungu wa kufiwa.
07 September 2026Makamo ndo katangaza hivyo
Em nielewesheni kidogo..
Kwahyo maza alikuwa anaendelea na shughuli zake kama kawa ilhali mzee mgonjwa!??
AM I missing sth....
Maana kesho alikuwa na event Magufuli city DOM
Kipaumbele changu kikubwa katika huu Msiba ni kumuangalia Mstaafu Kikwete kama atalia Machozi ya Kweli au atalia yale Machozi ya Mamba tu pekee. Tafadhali sitaki kuulizwa swali lolote kwanini nimeandika hivi ila kwa wenye Akili kubwa nina uhakika wa 100% kuwa watakuwa wameshanielewa.Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Tunashukuru kwa taarifaMume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Mkuu hata Mzee wa miaka 100 hapendi kufa ndo maana huwa analilia hata muwe mnamuanika juani kama michembe ili asife...Kifo ni kifoYaan watu ni wajinga sana unacheka kifo, mume wa rais ni over 70, sasa hapo unashangilia nini
Itashangaza sana Nchimbi asipohudhuria mazishi.Nimeamini Nchimbi ni kiboko!
Kazaliwa mkoa gani? Jamaa wana dawa kali sana
Allah amjalie mahala pema peponi, alijaalie kaburi lake liwe miongoni mwa bustani ya peponi. Atukutanishe peponiMume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Mungu amuweke mahali pema PeponiHuyo anatakiwa a-rest in Hell fire