mume wa rais

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. aise

    JamiiForums Tanzania Pita Msechu ameshatoa wimbo kufuatia kifo Cha Mume wa Rais?

    Ambao mko karibu na vyanzo mnipe jibu
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mume wa Rais Samia azikwa Kizimkazi, Zanzibar

    Marehemu Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezikwa jioni ya leo, Septemba 7, 2026, Kizimkazi, Zanzibar. Watu mbalimbali, wakiwemo Viongozi wa Serikali, Viongozi wa Dini, Wafanyabiashara pamoja na Waombolezaji wengine, wamejitokeza...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Watu kufurahia kifo cha Mume wa rais wao kinaleta taswira gani kwenye taifa?

    Hii ni picha mbaya sana taifa na binadamu kwa ujumla. Kwamba watu wanapiga ndulu kwa furaha tele kwa kuwa mume wa rais wao kafariki. Tunapata picha gani hapa? Watu wanalipa kisasi? Wana chuki kwenye mioyo yao? Taifa limepasuka kila kona.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Ukweli wa Majonzi: Kifo cha Mume wa Rais Samia na Machungu ya Mauaji ya Tarehe 29 Oktoba

    Mbingu, Ifakara, TANZANIA – Leo Septemba 7, 2026, Makamu wa Rais wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, ametangaza kifo cha mume wa Rais Samia Suluhu Hassan, Mzee Hafidh Ameir Hassan, aliyefariki dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena mjini Zanzibar akipatiwa matibabu ya...
  5. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Mume wa Rais Samia kuzikwa leo kizimkazi

    Mwili wa Hafidh Ameir Hassan, mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, unatarajiwa kuzikwa leo, Septemba 7, 2026, Kizimkazi, Zanzibar. Hafidh Ameir amefariki dunia leo katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena, Zanzibar, ambako alikuwa akipatiwa matibabu. Kifo...
  6. Ruwamangi

    JamiiForums Tanzania Emmanuel Nchimbi kushiriki maziko ya mume wa rais zanzabar kabla ya swala ya Magharibi?

    Leo Zanibar kabla y jua kuelekea Magharibi kutakuwepo na ibada ya mazishi ya Mume wa Rais. Viongozi wakuu wastaafu na waandamizi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano na mapinduzi ya Zanzibar watafika zanzibar. Uvumi wa kutoonekana kwa Makamu wa Rais aliyejiuzulu Utafutwa?
  7. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Kifo cha mume wa rais, wananchi wabubujikwa machozi washukuru Mungu hata hiki kidogo. Mmh tumefikaje hapa!?

  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia. Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi...
  9. milele amina

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, maswali mengi yanajitokeza kuhusu mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir

    Kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, maswali mengi yanajitokeza kuhusu mume wa Rais Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir. Katika kipindi hiki, ni muhimu kujua kama Hafidh atajitokeza hadharani kumsaidia mkewe katika kampeni au kama ataendelea kukaa kimya Wala kutokuonekana kwenye jamii na...
  10. Kinyungu

    JamiiForums Tanzania Mume wa Samia Suluhu, Hafidh Ameir, sasa kuwa Tanzania's First Gentleman

    Wote poleni kwa msiba mkubwa wa kuondokewa na mtu aliyeipenda nchi yetu kwa dhati kabisa Mh. Rais John Magufuli. Kufuatia msiba huu mzito nchi yetu inaenda kupata Rais Mwanamama Mh. Samia Hassan Suluhu kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu na vivyo hivyo nchi itapata First Gentleman...
  11. Shark

    JamiiForums Tanzania Nini Majukumu ya Mume wa Rais (First Gentleman) Kiserikali?

    Wakuu Kwema? Kama mnavyofahamu kwa mara ya kwanza Tanzania tumepata Rais Mwanamke baada ya Rais aliye madarakani kufariki kwa kuumwa. Sasa baada ya kuwa na Rais Mwanamke, nini yatakuwa majukumu ya Mumewe? Je, naye atakuwa anaandamana na Mkewe (Rais) kila anapoenda? Mwenye kufahamu hili...
  12. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Nchi ya Singapore na suala la heshima kwa mume wa Rais (First Gentleman)

    Good afternoon JamiiForums Picha rasmi ya Rais ni lazima iwekwe upande wa kushoto na picha ya mumewe upande wa kulia. Picha zote mbili zinapaswa kutengenezwa na kutundikwa sambamba (pair) na kwa urefu unaolingana katika ofisi za umma na binafsi. Ikiwa nembo ya taifa inapaswa kuwepo ofisini...
Back
Top Bottom