Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 37,093
- 49,778
Ugonjwa wa moyo..Hata chanzo cha kifo hawajakisema
Ugonjwa wa moyo..Hata chanzo cha kifo hawajakisema
Ongeza nyingine nipe lipa namba fasta, mimi natoa locki na kayohana mtembezi kadogo kwanza, habari nzuri hii haiwezi kupita bila kujilipua mapemaaa.Niletee Konyagi Kubwa
Makamo ndo katangaza hivyoZanzibar nako kuna Mzena Hospital?
pole kwa Mh Rais Samia, CCm, Wazanibar wote na marafiki.Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Naomboleza jamaniWhat's wrong with you?
Kwa nini anatajwa kama mume wa Samia, badala ya kutajwa 'ALIYEKUWA mume wa Samia? Mbona tuliambiwa kuwa Samia alikwishamwacha, na kwamba alimwambia atafute mwanamke mwingine, na kwamba yeye angemlipia mahari.
Pole sana kwa wanafamilia, marehemu hajawahi kushiriki kwenye uovu wowote wa yule mwanamke na mwanae.