Kijukuu cha ngoyayi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 3,198
- 6,320
Kuanzia saiv mm ndo mrithi wa mamaenu
Eda ni kwa walalahoiKwa mujibu wa dini yetu, atakaa eda?
Mungu amuweke mahali Pema PeponiUsiingilie furaha ya watu mkuu.
Nmesema wenye akili timamu ndo wamefurahiTumehuzunika sana,Mungu amuweke mahali pema Peponi
Poleni sana wazanzibar na watanganyika.Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Mungu Amuweke Mahala Pema PeponiKi ukweli kabisa, sijisikii uchungu wowote hasa inapotokea kifo Cha viongozi, maana, wao wameshindwa kuzuwia, kukemea utekaji unaoendelea
Kama kifo kwetu kwao ni kawaida tu, Mimi nianzeje kuona si kawaida wakifa wao?
Ndo navua boksa hapaOyaa! Sasa ni muda wa kukirusha kimoja tu!
Amen.Mungu amuweke mahali Pema Peponi
Andika barua tuangalie sifa zako kwanza.Kuanzia saiv mm ndo mrithi wa mamaenu
Mbamizwa ndegeAmen.
Mungu Amuweke Mahala pema PeponiKifo ni kifo tu!😭😭😭😭
🚫Another off target!!!
Watanganyika tutoe hapoPoleni sana wazanzibar na watanganyika.
Itakuwa Tanganyika tu.Amefia wapi?
Nasikitika tu...Unachotaka kusema comment tu usiogope 😁