Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,380
- 139,289
Huyu hana kosa, shida ni mama na wanae
Huyu Mzee wakuombewa heri, hajasikika popote akishiriki uovu.Hizi ni habari njema sana. Asante Mungu. Ngoja naye aone uchungu wa kufiwa.
Kama mama yako tuUna wazimu?
Kweli, Mzee alipinga Sana uonevu kimyakimya . Apumzike kwa amani.Huyu hana kosa, shida ni mama na wanae
Jimbo lipo wazi mtokee huyo mshangazi 😁Naangalia tu! 😎
Samia alike alikejeli kifo cha Mzee Ali KibaoWagalatia bana wanafurahi msiba 😂
Dooh! Rais amepoteza Bwana.. 🙏Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Ila Broh mbona hii taarifa emoji za kucheka ni nyingi sana?Enheee haya, Kawasalimie.
Ana kosa gani? Ulishamsikia akiteka watu au akishabikia uuzaji wa Tanganyika?Huyo anatakiwa a-rest in Hell fire
Usikute Msoga kamchukua msukule mzee wa watuKweli, Mzee alipinga Sana uonevu kimyakimya . Apumzike kwa amani.
Marehemu alikuwa mbunge au mjumbe wa baraza la wawakilishi?Mungu aipumzishe roho ya marehemu pema anapostahili.
Jimbo liko wazi sasa
watakufa tuHuyu Mzee wakuombewa heri, hajasikika popote akishiriki uovu.
Tofauti na jk na Abdul hawa ndo walifaa kufa na tushangilie.
Lakini ni watanganyika ndo wanamlinda pale chamwino.Hili ni ombi la kila Mtanganyika mwenye akili timamu.
Hata Mimi hujawahi kunisikia nikilaani. Mwacheni Mzee wa watu apumzike kwa amani alijitenga na uovu wote na hakusikika kujihusisha nao.Sijawahi kusikia Hafidh akilaani mauaji ya 29.10.2025
Kwa hiyo atakaa eda miezi kadhaa bila kutoka home?Asante kwa Taarifa
إنا لله و إنا إليه راجعون.Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.