Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Kitabu cha Siri ya Majini UK. 20 kimeandika kwa lugha ya Kiswahili rahisi, kimeeleza hivi:

“Tangu mwanzo, shetani amekuwa adui wa wanadamu. Adam na Hawa walijaribu kumpinga, lakini hawakumuweza kumsilimisha. Mitume wote waliokuja baada yao walipambana naye, lakini walibaki wakidanganya na kushawishiwa na shetani. Ila ni Mtume Muhammad pekee ndiye aliyeweza kumsilimisha shetani wake, na akawa shetani wake hakumwongoza ila kwenye mambo ya kheri.”

Shetani alisilimishwa na Muhamad na akawa ana mwongoza katika "mambo ya kheri"
Da!!!!,lakini pamoja na ubaya wa shetani,lakini sijawahi ona sehemu yoyoe imeandikwa shetani alikuwa anapiga pombe,wala hakuwa m2 wa mademu,wala hakuwai kulawiti wala kulawitiwa,,,kwa mujibu wa QURQN tukufu,,,,laana ya shetani ilitokana na kukataa kusujudia sanamu la nabii ADAM!!,,,na shetani alimlalamikia MUNGU kwamba,hakika,,,hawa binadamu watakuja kuchafua dunia na watakukera sana na kweli tunamkera sana MUNGU!! usije kushangaa sisi BINADAMU ndio MASHETANI na SHETANI ndio BINADAMU<<<<<,,,,,,,,,,leo hii kuna ROBOTI huko china lnabeba mimba!!! lakini ata ukiangalia maendelio tuliyo nayo,,ukifikiri kwa kina sisi NDIO MASHETANI WENYEWE!!!,,,,,,,,,2natengeneza MAKOMBORA ambayo ata majini hawana speed ya hayo makombora!!
 
Pakada shetani ataswali vipi na wewe? 😃
Biblia imekushinda utaiweza Qur’an 😃
Sasa si nae ni Muslim na kasilimishwa na Mtume mwenyewe kwanini asiswali au mnambagua kama Arabs wanavowatenga miskitini?
 
Kitabu cha Siri ya Majini UK. 20 kimeandika kwa lugha ya Kiswahili rahisi, kimeeleza hivi:

“Tangu mwanzo, shetani amekuwa adui wa wanadamu. Adam na Hawa walijaribu kumpinga, lakini hawakumuweza kumsilimisha. Mitume wote waliokuja baada yao walipambana naye, lakini walibaki wakidanganya na kushawishiwa na shetani. Ila ni Mtume Muhammad pekee ndiye aliyeweza kumsilimisha shetani wake, na akawa shetani wake hakumwongoza ila kwenye mambo ya kheri.”

Shetani alisilimishwa na Muhamad na akawa ana mwongoza katika "mambo ya kheri"
Kwahiyo kwa kifupi shetani ni mvaa vipedo na kobazi? Sasa naelewa kwanini wale wenye hao jamaa huwa hawapatani na "chair fire"
 
Wewe mzee utakufa kifo kibaya sana. Kama usipotubia na kumuomba Mungu msamaha kwa makosa yako ya kumtukana Mtume Muhammad SAW kila wakati, na kumtukana Mwenyezi Mungu humu jamvini, basi jiandae mauti mabaya. Wewe una laana na usipoangalia unaweza kuambukiza laana hiyo kwa kizazi chako
 
Kitabu cha Siri ya Majini UK. 20 kimeandika kwa lugha ya Kiswahili rahisi, kimeeleza hivi:

“Tangu mwanzo, shetani amekuwa adui wa wanadamu. Adam na Hawa walijaribu kumpinga, lakini hawakumuweza kumsilimisha. Mitume wote waliokuja baada yao walipambana naye, lakini walibaki wakidanganya na kushawishiwa na shetani. Ila ni Mtume Muhammad pekee ndiye aliyeweza kumsilimisha shetani wake, na akawa shetani wake hakumwongoza ila kwenye mambo ya kheri.”

Shetani alisilimishwa na Muhamad na akawa ana mwongoza katika "mambo ya kheri"
Chizi Maarifa . Dogo kumbe bado upo.!
hii kesi uliyonunua utaiweza?
 
Katika hizo riwaya ulizo hadithiwa hata siku Moja haujawahi kukutana na riwaya inayoelezea mambo mazuri ya mtume?
Yapo. Ambayo hata mimi nayapenda.
1. Kuoa katoto ka miaka 6 ni kabichi kabisa
2. Kuwa na varities ya mademu
3. Alikuwa mpambanaji na mpiganaji aliyeweza ongoza uvamizi na kuteka mali.
4. Nadhani pia alikufa tajiri
5. Alikuwa mwongeaji na mshawishi mzuri sana.
 
Da!!!!,lakini pamoja na ubaya wa shetani,lakini sijawahi ona sehemu yoyoe imeandikwa shetani alikuwa anapiga pombe,wala hakuwa m2 wa mademu,wala hakuwai kulawiti wala kulawitiwa,,,kwa mujibu wa QURQN tukufu,,,,laana ya shetani ilitokana na kukataa kusujudia sanamu la nabii ADAM!!,,,na shetani alimlalamikia MUNGU kwamba,hakika,,,hawa binadamu watakuja kuchafua dunia na watakukera sana na kweli tunamkera sana MUNGU!! usije kushangaa sisi BINADAMU ndio MASHETANI na SHETANI ndio BINADAMU<<<<<,,,,,,,,,,leo hii kuna ROBOTI huko china lnabeba mimba!!! lakini ata ukiangalia maendelio tuliyo nayo,,ukifikiri kwa kina sisi NDIO MASHETANI WENYEWE!!!,,,,,,,,,2natengeneza MAKOMBORA ambayo ata majini hawana speed ya hayo makombora!!

Shetani na hayo majini ndo yanawafanya watu wasiwe na utu
 
Hii dini ndio inaongoza kwa hadith za abunuasi dunian...eti shetani asilimishwa😂
 
Nahisi hili lipo nje ya uwezo wa wengi kulielewa kama nilivyo mimi au huwa wanaelewa tu bora liende.

Shetani anakuwaje mwema wakati always tumekuwa tukiambiwa shetani ni muovu/waovu sana?unaweza vipi kusema “mashetani wema” huku ikijulikana shetani ni muwakilishi wa mambo maovu/mabaya yasiyofaa?
Kila SHETANI NI JINI.
ILA SIO KILA JINI NI SHETANI.
Sijui umeelewa tofauti yake .
Yaani ni kama mfano Katika sisi binadamu tupo wema na pia tupo WABAYA
 
Kwahiyo shetani ni muislamu?!
Kwanza fanyeni juhudi mumjue Mungu aliyekuumbeni mkisha mjua Mungu wa kweli ndio mtajua sifa zake na viumbe wake

Aliwaumba Malaika Kwa Nuru
Aliwaumba majini Kwa moto
Aliwaumba binadamu Kwa udongo

Malaika wamepawa akili lakini hawajaoewa matamanio

Binadamu na majini wamepewa akili na matamanio

Binadamu na majini wameumbwa Kwa ajili ya kumuabudu Mungu

Binadamu na majini watakao muasi Mungu wataenda Jahanamu

Shetani ni sifa ya uasi Kuna mashetani katika binadamu na mashetani katika majini

Haya mambo nyinyi wagalatia hamuwezi kuyajua maana dini yenu yenyewe watu waliiyanzisha Kwa ujanja ujanja tu
 
Hivi unajua kwa nini alikataa.
Shetani ameumbwa tofauti amepambwa na vito vingi vya thamani.

Ameishi na muumbaji karibu kuliko binadam ndy maana Alishindwa. Ila kimamlaka tumepewa sisi.
Vito gani wewe wakati aliumbwa Kwa moto tu.hawafikii hata malaika waliumbwa Kwa NURU
 
Kwanza fanyeni juhudi mumjue Mungu aliyekuumbeni mkisha mjua Mungu wa kweli ndio mtajua sifa zake na viumbe wake

Aliwaumba Malaika Kwa Nuru
Aliwaumba majini Kwa moto
Aliwaumba binadamu Kwa udongo

Malaika wamepa akili lakini hawajaoewa matamanio

Binadamu na majini wamepewa akili na matamanio

Binadamu na majini wameumbwa Kwa ajili ya kumuabudu Mungu

Binadamu na majini watakao muasi Mungu wataenda Jahanamu

Shetani ni sifa ya uasi Kuna mashetani katika binadamu na mashetani katika majini

Haya mambo nyinyi wagalatia hamuwezi kuyajua maana dini yenu yenyewe watu waliiyanzisha Kwa ujanja ujanja tu
Wale malaika waliolala na wanadamu ... Sio matamanio Yale Mimi najua MUNGU
 
Ibilisi alikuws maraika kama hujui wewe akili maji
Shetani ni nani?…Tafsiri ya Jina shetani ni ‘mshitaki’ au ‘mchongezi’. Kazi yake ni kuwashitaki watakatifu mbele za Mungu.

Jina lingine la shetani ni “LUSIFA” Maana yake ‘NYOTA YA ALFAJIRI’. (Isaya 14:12) Jina hili Lusifa aliitwa kabla hajaasi, baada ya kuasi ndio akawa shetani.

Alikuwa ni Malaika wa Sifa (Kerubi) huko mbinguni, alikuwa ni Mzuri kwa mwonekano na mkamilifu katika njia zake zote, aliishi katika taratibu za Mungu, na katika njia za Mungu, na hivyo akapata heshima kubwa mbinguni zaidi ya Malaika wengi (Ezekieli 28:14).. Alikuwa mkamilifu mpaka siku uovu ulipoonekana ndani yake (Ezekieli 28:15).

Kwasababu ya uzuri wake Moyo wake ukainuka, akataka kujiinua awe kama Mungu, aabudiwe kama Mungu na kwa ujuzi wake mwingi akawashawishi theluthi ya Malaika mbinguni (1/3) waambatane naye.

Vita, vikali vikatokea Mbinguni kati ya Malaika waliokataa kuungana na Lusifa na malaika waliokubali kuungana naye. Biblia haisema vita hivyo vilipiganwa kwa muda gani, lakini inasema mwisho wa siku lusifa pamoja na malaika wake walishindwa vita vile, na kutupwa chini duniani (Ufunuo 12:7).

Na vita hivyo bado havijaisha, vita vya kwanza vilipiganwa mbunguni, kati ya Malaika walio upande wa shetani na wale walio upande wa Mungu na Malaika waliokuwepo Upande wa Mungu wakavishinda, lakini vita vya pili na vya mwisho vinapiganwa hapa duniani na hata sasa bado vinaendelea..Na vitaisha mwisho wa dunia.
Malaika waliumbwa Kwa NURU.
Ibilisi jamii ya majini aliumbwa Kwa MOTO.
Haya niambie ibilisi anakuwaje malaika😎😎😎
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom