Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Ni hakuna jini lichaMungu, hiyo haipo.

Wenyewe wamekiri hapa tena kwa maandiko ya Kwenye Quran kuwa kuna hayo majini na mashetan ambao ni waislam 😁😁😁😁

Na ambao sio waislam.

Ushawah sikia jini anaitwa Emmanuel au Jina lolote la Kikristo.

Weng wanajiita Maimuma. Aisha. Nk
Ndio hawa hawa pepo wachafu.

Kwahiyo Hao pepo wachafu ni waislam.
 
Wenyewe wamekiri hapa tena kwa maandiko ya Kwenye Quran kuwa kuna hayo majini na mashetan ambao ni waislam 😁😁😁😁

Na ambao sio waislam.
Majini Waislam wapo ila Mashetani sio waislamu neno shatani ni kama kusema muovu ila jini ni kiumbe
 
Kuna Aya yoyote inayosema Muhamadi katokewa na huyo Jibrili ?
Mbona mimi sijawahi kuiona:

Ni wapi Jibrili alimtokea Muhamadi na kuongea jambo lolote lile:
 
Alaf kabla ya hayo yote.
Hapa Shetan anaishusha Quran kwa makobaz na majini.

Quran 2:97 -98
"Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Aliye kuwa adui wa Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Mitume wake na Jibril na Mikail, basi hakika Mwenyezi Mungu ni adui wa makafiri."
Huwa maana yake ni yeye na hapo yeye imemaanisha Jibril na sio adui yake
 
Ukisikia jini anaitwa shetani jua huyo sio Muislamu iko hivyo
Hivyo hakuna shetani Muislamu.

Okay sawa.
Nimekuelewa.

Kwahiyo Wale watu wanaopandisha mashetan/maruhan na hao majini wanataja kabisa majina yao ya kiislam.

Wale ndio majini waislam.

Alaf kuna jini Shetani. Ambaye yeye ndio sio Muislam.
 
Kwahiyo Wale watu wanaopandisha mashetan/maruhan na hao majini wanataja kabisa majina yao ya kiislam.

Wale ndio majini waislam sio?.

Alaf kuna jini Shetani. Ambaye yeye ndio sio Muislam.
Hayo yanayowapanda watu ni mashetani,jini Muislamu kamwe hawezi kumsumbua binadmu na hana mpango wa kumuingia mwanadamu
 
Hayo yanayowapanda watu ni mashetani,jini Muislamu kamwe hawezi kumsumbua binadmu na hana mpango wa kumuingia mwanadamu

Okay. Kwahiyo watu wanapandisha mashetan. Na sio majini ya Kiislam.

Sasa inakuwaje hao mashetan yanakuwa na majina ya Kiislam kama sio waislam?.
 
Haya nenda kaisome.

Suratil Ahqaaf aya ya 29 mpaka 32,
Au Quran 46 : 29-32

]وَإِذْ صَرَفْنَا إِلَيْكَ نَفَرًا مِنْ الْجِنِّ يَسْتَمِعُونَ الْقُرْآن فَلَمَّاحَضَرُوهُ قَالُوا أَنْصِتُوا فَلَمَّا قُضِيَ وَلَّوْا إِلَى قَوْمِهِمْ مُنْذِرِينَ * قَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا كِتَابًا أُنْزِلَ مِنْ بَعْدِ مُوسَى مُصَدِّقًا لِمَا بَيْنَ يَدَيْهِ يَهْدِي إِلَى الْحَقِّ وَإِلَى طَرِيقٍ مُسْتَقِيمٍ * يَا قَوْمَنَا أَجِيبُوا دَاعِي اللَّهِ وَآمِنُوا بِهِ يَغْفِرْ لَكُمْ مِنْ ذُنُوبِكُمْ وَيُجِرْكُمْ مِنْ عَذَابٍ أَلِيمٍ * وَمَنْ لا يُجِبْ دَاعِي اللَّهِ فَلَيْسَ بِمُعْجِزٍ فِي الأرْضِ وَلَيْسَ لَهُ مِنْ دُونِهِ أَولِيَاءُ أُوْلَئِكَ فِي ضَلالٍ مُبِينٍ[

Maana yake,
Na (wakumbushe) wakati tulipowaleta kundi la Majini kuja kwako kusikiliza Qurani. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana): “Nyamazeni! (Msikilize maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha somwa walirudi kwa jamaa zao kwenda kuwaonya. Wakasema “Enyi watu wetu! Sisi tumesikia Kitabu kilichoteremshwa baada ya (Nabii) Musa,

kinachosadikisha yaliyokuwa kabla yake na kinachoongoza kwenye haki na kwenye njia iliyonyooka. Enyi kaumu yetu! Muitikieni Mlingani, (Muitaji) wa Mwenyezi Mungu na muaminini, atakusameheni (Mwenyezi Mungu) dhambi zenu na atakukingeni na adhabu iumizayo.

Na wasiomuitikia Muitaji wa Mwenyezi Mungu, basi hao hawatamshinda (asiwapate) hapa katika ardhi, wala hawatakuwa na walinzi mbele Yake. Hao wamo katika upotofu ulio dhahiri.”
Hii aya ina shida gani?
 
Kitabu cha Siri ya Majini UK. 20 kimeandika kwa lugha ya Kiswahili rahisi, kimeeleza hivi:

“Tangu mwanzo, shetani amekuwa adui wa wanadamu. Adam na Hawa walijaribu kumpinga, lakini hawakumuweza kumsilimisha. Mitume wote waliokuja baada yao walipambana naye, lakini walibaki wakidanganya na kushawishiwa na shetani. Ila ni Mtume Muhammad pekee ndiye aliyeweza kumsilimisha shetani wake, na akawa shetani wake hakumwongoza ila kwenye mambo ya kheri.”

Shetani alisilimishwa na Muhamad na akawa ana mwongoza katika "mambo ya kheri"
Inakusaidia Nini wewe hapo KIJIWE SAMLI?!
 
😂😂😂😂😂 bro tuko kwenye kutoa hoja kuwa Quran ni ya Kobaz, majini na mashetani.
Hapo nataka kujua mashetani ni viumbe gani
Bro Chizi Maarifa , hiv unajua hata Kitimoto na bia Muislam anakula tu na hakuna dhambi.

Kitimoto ikiwa ni dharula.
Bia atumie akili.

Quran 2:173
"Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu.

Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu."

Na
Quran 16:67
"Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ulevi na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili."

Kwahiyo kobaz wanaotumia Kitimoto na Bia Wanafuata Quran tukufu.
Kuhusu nguruwe kuliwa kwa dharura kama hamna chakula ni kweli ila kama chakula kikiwepo ni haramu
Kuhusu bia sio halali kivyovyote na kama ni halali lete andiko la kuhalalisha
 
Jibu swali au ukae kimya.

Shetani ni Muislam?.

Kabla ya kujibu. Soma
Quran 18:50
"Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu."

Msisitizo weka hapo waliposema "YEYE ALIKUWA MIONGONI MWA MAJINI".

Huko nyuma tumeona majini yamesomewa Quran ya yakawa Waislam.
Kumbuka hapo Ibilis alikuwa bado hana sifa ya uovu yaani hakuwa shetani
 
Majini ni majini hakuna wema. Huo ni uongo. Na shetani hata afanyeje haji samehewa na Mungu. Yeye ndo wale malaika walioasi alitupwa nao ndo hao wakawa majini. Hawawezi kuja kuwa wema machoni pa Mungu.
Sasa hiyo si kwa mujibu wa biblia kwani imetajwa kwenye Qur’an 😃
Hiyo ni yenu sio yetu 😃
 
Tafadhali jibu swali au ukae kimya.

shetani ni Muislam?.

This time ukijibu zingatia maneno kutoka kitabu chenu kinachoitwa Asili ya majini. Ukurasa wa 20.
Shetani sio Muislam
Halafu hicho kitabu labda ni chenu sisi msitusingizie hatuna hicho kitabu 🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom