Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

kama vitu gani alivyopambwa navyo,?vya thamani?
Screenshot_20250829-191441.png
 
Mwanadamu, umfanyie maombolezo mfalme wa Tiro, umwambie, Bwana MUNGU asema hivi; Wewe wakitia muhuri kipimo, umejaa hekima, na ukamilifu wa uzuri.
13 Ulikuwa ndani ya Adeni, bustani ya Mungu; kila jiwe la thamani lilikuwa kifuniko chako, akiki, na yakuti manjano, na almasi, na zabarajadi, na shohamu, na yaspi, na yakuti samawi, na zumaridi, na baharamani, na dhahabu; kazi ya matari yako na filimbi zako ilikuwa ndani yako; katika siku ya kuumbwa kwako zilitengenezwa tayari.
🤣🤣🤣Unajikuta sungura.nani kakwambia hizo sifa alipewa IBILISI?
 
Mwanadamu, umfanyie maombolezo mfalme wa Tiro, umwambie, Bwana MUNGU asema hivi; Wewe wakitia muhuri kipimo, umejaa hekima, na ukamilifu wa uzuri.
13 Ulikuwa ndani ya Adeni, bustani ya Mungu; kila jiwe la thamani lilikuwa kifuniko chako, akiki, na yakuti manjano, na almasi, na zabarajadi, na shohamu, na yaspi, na yakuti samawi, na zumaridi, na baharamani, na dhahabu; kazi ya matari yako na filimbi zako ilikuwa ndani yako; katika siku ya kuumbwa kwako zilitengenezwa tayari.
🤣🤣🤣Unajikuta sungura.nani kakwambia hizo sifa alipewa IBILISI?
ila alikuwa mkuu wa sifa huko juu ndy maana unaona kuna matari na filimbi yan aliumbwa naz😵nce alivyo mess up tu basi so hilo wazo la kusilimu angaelipata akiwa kule kule juu before hajaja kueneza majini huku duniani.
 
ila alikuwa mkuu wa sifa huko juu ndy maana unaona kuna matari na filimbi yan aliumbwa naz😵nce alivyo mess up tu basi so hilo wazo la kusilimu angaelipata akiwa kule kule juu before hajaja kueneza majini huku duniani.
Hyo Ezekiel 28 hakuna sehemu imemtaja ibilisi wewe umepata wapi?
 
Kila SHETANI NI JINI.
ILA SIO KILA JINI NI SHETANI.
ndo maana Kuna majini walikuwa wanafanya kazi na nabii Suleiman.
Usikariri
KILA JINI NI SHETANI. MFALME SULEIMAN WA QURAN NDO ALIKUWA ANAFANYA KAZI NA MAJINI. MAJINI YOOOOTE NI MASHETANI NA HAYANA WEMA. KIUFUPI NI MASHETANI YOOTE. NA SULEIMAN KATIKA BIBLIA ALIMKOSEA MUNGU ALIPOANZA FUATA IMANI ZA NAMNA HIYO.
 
Aliyekuja kuziita dini nani?
Ndo maana nawaambia ukristo na uyahudi sio dini ni majina ya watu.na wewe unathibitisha kuwa hazikuitwa dini
Kila siku nakufunza ,kuziita dini ni baada ya kuja mudi ,

Nikakupa na Quran ikizitaja kuwa ni dini ...au ilijisahau?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom