Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muulize kama kuna majini mema mbona hatusomi popote mungu akiwatumia majini kama wajumbe wake kwa wanadamu yaani kuwatuma majini kuleta habari njema tunaona mungu akitumia malaika tu ...tukisema muhammad alitokewa na jini mapangoni mbona wanakanusha kuwa siyo jini ni malaika kwanini wasiseme ni jini mchamungu ndiyo kamtokea muhammad
Dah
Nasubiri Jibu la hili swali
 
Muulize kama kuna majini mema mbona hatusomi popote mungu akiwatumia majini kama wajumbe wake kwa wanadamu yaani kuwatuma majini kuleta habari njema tunaona mungu akitumia malaika tu ...tukisema muhammad alitokewa na jini mapangoni mbona wanakanusha kuwa siyo jini ni malaika kwanini wasiseme ni jini mchamungu ndiyo kamtokea muhammad


Hii hoja hawawezi jibu masheikh wangu. Nimeuliza wawili.
 
Tuachane na hao majini wanaotetewa kwa nguvu zote kuwa ni wachamungu au sijui ni wema:

Hivi Dini ya Kiislamu inasemaje kuhusu majini waovu?
Je wanaruhusiwa mda wowote kwenda msikitini kutubu na kusilimu kama wenzao wa wakati wa mtume?
Kama wanaruhusiwa nani anawasilimisha?
Ni Imamu au Shehe wakibinadamu au
wa kijini?
 
Yohana 6:70
Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?

Wagalatia mmedanganywa sana

Vipi kama mngeona andiko kama hili katika vitabu vya Hadith za mtume?

Yani mtume Muhammad anasema nimekuchagueni nyinyi maswahaba / wanafunzi wangu na Mmoja wenu ni shetani

Ni vyema mseme Ili tukufundisheni Maneno ya Mungu

Maana nyinyi wagalatia hata
Mungu alikuumbeni hamumjui

Hamuna Nabii maana Paulo sio Nabii wa Mungu

Hamuna kitabu maana Warumi, Tito sijui wakolintho sio vitabu vya Mungu ila barua za watu

Hamuna dini maana ukristo sio dini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom