Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Kitabu cha Siri ya Majini UK. 20 kimeandika kwa lugha ya Kiswahili rahisi, kimeeleza hivi:

“Tangu mwanzo, shetani amekuwa adui wa wanadamu. Adam na Hawa walijaribu kumpinga, lakini hawakumuweza kumsilimisha. Mitume wote waliokuja baada yao walipambana naye, lakini walibaki wakidanganya na kushawishiwa na shetani. Ila ni Mtume Muhammad pekee ndiye aliyeweza kumsilimisha shetani wake, na akawa shetani wake hakumwongoza ila kwenye mambo ya kheri.”

Shetani alisilimishwa na Muhamad na akawa ana mwongoza katika "mambo ya kheri"
Kumbe shetani ni muislamu?
 
Alaf kabla ya hayo yote.
Hapa Shetan anaishusha Quran kwa makobaz na majini.

Quran 2:97 -98
"Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Aliye kuwa adui wa Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Mitume wake na Jibril na Mikail, basi hakika Mwenyezi Mungu ni adui wa makafiri."
Makobaz ni viumbe gani?
 
Kitabu cha Siri ya Majini UK. 20 kimeandika kwa lugha ya Kiswahili rahisi, kimeeleza hivi:

“Tangu mwanzo, shetani amekuwa adui wa wanadamu. Adam na Hawa walijaribu kumpinga, lakini hawakumuweza kumsilimisha. Mitume wote waliokuja baada yao walipambana naye, lakini walibaki wakidanganya na kushawishiwa na shetani. Ila ni Mtume Muhammad pekee ndiye aliyeweza kumsilimisha shetani wake, na akawa shetani wake hakumwongoza ila kwenye mambo ya kheri.”

Shetani alisilimishwa na Muhamad na akawa ana mwongoza katika "mambo ya kheri"
Amakweli Allah ni punguani.
 
Tafuta historia vzur.
Hakuna jini mbinguni.
Hayo majini yaliuza hati miliki ya mamlaka yakatolewa.
Sasa mkuu hii mada haipo upande wa biblia ipo according to Qur’an kwa hiyo hoja zako ziwe kwa mujibu wa Qur’an
 
Hiyo ni tafsiri .

Kwa Kiarabu ni ٱللَّٰه.

Na kwenye Screen shot zote hizo sijaona hilo neno.

ٱللَّٰه - allah

hapo walikusudia ni mwenyezi Mungu.
Ambalo liko neno la nne kutoka kushoto kwenda kulia. Kwenye mstar wa pili kutoka juu.

الله - mwenyez Mungu
Nikuonyeshe?
Angalia kwa makini kila neno usipoliona niambie
 
mungu wenu na shetani ni mmoja. Ila wangu ni wa tofauti na wenu. Mimi simwamini allah na ni najisi kwangu simtambui kama Mungu. huyo ni Ibilisi

Allah siyo Mungu Muumba. Ndiyo maana ni dhaifu. Hutegemea binadamu kumtetea. Ndiyo maana wakimkashifu Allah, wanaomuamini. Huua ili kumtetea.
 
Kitabu cha Siri ya Majini UK. 20 kimeandika kwa lugha ya Kiswahili rahisi, kimeeleza hivi:

“Tangu mwanzo, shetani amekuwa adui wa wanadamu. Adam na Hawa walijaribu kumpinga, lakini hawakumuweza kumsilimisha. Mitume wote waliokuja baada yao walipambana naye, lakini walibaki wakidanganya na kushawishiwa na shetani. Ila ni Mtume Muhammad pekee ndiye aliyeweza kumsilimisha shetani wake, na akawa shetani wake hakumwongoza ila kwenye mambo ya kheri.”

Shetani alisilimishwa na Muhamad na akawa ana mwongoza katika "mambo ya kheri"
Eeh watu mnafukua kweli yaani huku polepole anafukua ccm huku chizi maharifa anafukua .
 
Katika sura ya Majini
Majini yanasema yalikuwa yakiishi Mbinguni na kusikiliza:

Lakini kwa sasa yakitaka kupanda mbinguni na kusikiliza yanafukuzwa na vimondo:

Kwa mujibu wa Qurani Majini yalianza kuishi Mbinguni halafu yakafukuzwa kwa kumkosea Mungu wao:

Mwisho wa siku Majini yakasilimu na kuwa maislamu

Na yalisilimishwa na Mtume wao Mhamadi:
Yamemkaidi Allah na kufukuzwa Mbinguni na Allah:

Nilitegeme yangetubu kwanza kwa Allah na yakasehewa na Allah mwenyewe ayaruhusu kumwabudu tena:

Je Nani alimruhusu Muhamadi kuyasilimisha Majini bila ruhusa ya Allah ?
 
Hapa majini yalisikia Quran na Kuiamini

Quran 72:1-2
"Sema: Imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu!"
Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote na Mola wetu Mlezi"

👇👇Na hapa wanakaamua kuwa waislam.

Quran 72 : 12- 14
"Nasi tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia.

Nasi tulipo usikia uwongofu tuliuamini.
Basi mwenye kumuamini Mola wake Mlezi basi haogopi kupunjwa wala kudhulumiwa

Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu."

Kwahiyo Majini pia ni waislam
Hao majini walioamini si ndiyo hawa wa jamiiforum? Hapa jukwaani kuna kila Aina ya majini huwa nikisoma comment zao unaona kabisa hawa ni zaidi ya mapepo
 
Makiristo yanapaswa kujua tafauti ya Jinn na Sheitwan Ibilis
 
Makiristo yanapaswa kujua tafauti ya Jinn na Sheitwan Ibilis
Jini ni roho chafu au mapepo haiwezezekani Kwa binadamu kuwa dini moja na jini hii ni zaidi ya uchawi kabisaa.
Unaabudu pamoja na majini ? Ndiyo maana masheikh wengi ni waganga wa kienyeji kutokana na kuwa pamoja nao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom