Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Quran hakika sio muongozo wa Mungu wa kweli
🤣🤣🤣🤣.
Ila biblia ambayo IMESHUSHWA kiujanja ujanja ndo muongozo wa Mungu wa kweli?

Ebu niambie basi kwanini agano la kale liliandikwa Kwa lugha ya kiyahudi na agano jipya liliandikwa Kwa lugha ya kigiriki?
 
Mbona tukiwaambia wanafugaga majini wanakataaga🤣🤣🤣
Shehe Sure ni msema ukweli:
Aliutembelea hadi msikiti walioujenga Majini:
Maamuma watabisha hili jambo,🤣🤣🤣🤣
Cc. Covax,
 
🤣🤣🤣🤣.
Ila biblia ambayo IMESHUSHWA kiujanja ujanja ndo muongozo wa Mungu wa kweli?

Ebu niambie basi kwanini agano la kale liliandikwa Kwa lugha ya kiyahudi na agano jipya liliandikwa Kwa lugha ya kigiriki?
Unajua hii Quran unayotumia imeundwa hapo Al Azhar University 1924 na mfalme Fuad na wahuni wachache?

Unajua kwanini hakuna Manuscript ya Uthman popote pale?

Agano Jipya liliandikwa kwa Kigiriki cha kawaida (Koine Greek), kwa sababu kipindi kile Kigiriki kilikuwa lugha ya kimataifa kama vile Kiingereza kilivyo leo.

Baada ya ushindi wa Aleksanda Mkuu, Kigiriki kilienea katika Dola kubwa ikiwemo Palestina, Asia Ndogo, Misri, na Roma.

Mitume walipoanza kuhubiri Injili kwa Wayahudi na watu wa mataifa mengine, Kigiriki kilikuwa lugha rahisi ya kufikisha ujumbe kwa watu wote.

Hata Wayahudi waliokuwa nje ya Israeli walitumia Biblia ya Kigiriki (Septuaginta), tafsiri ya Agano la Kale kwa Kigiriki. Hii iliandaliwa karne ya 3 K.K huko Aleksandria, Misri.
 
Kitabu gani hicho maana nataka kujipa ilmu
Katika Sahih Bukhari na Sahih Muslim, kuna Hadith ifuatayo:

“Mmoja wenu anapolala, Shetani hulala katika puani mwake. Basi akiamka asisuuze pua yake mara tatu kwa maji.”

(— Sahih Bukhari 3295, Sahih Muslim 238).

👀 Hii ndiyo inatumika kuonesha imani kwamba Shetani “hukaa” au “hulala” kwenye pua zenu


“Wakati mmoja wenu akisimama kuswali, Shetani humjia na kumfanya ahisi kana kwamba ameacha hewa (fart). Akiwa na shaka, asivunje Swala mpaka asikie sauti au aone harufu.”

(— Sahih Bukhari 137, Sahih Muslim 361).
 
Katika Sahih Bukhari na Sahih Muslim, kuna Hadith ifuatayo:

“Mmoja wenu anapolala, Shetani hulala katika puani mwake. Basi akiamka asisuuze pua yake mara tatu kwa maji.”

(— Sahih Bukhari 3295, Sahih Muslim 238).

👀 Hii ndiyo inatumika kuonesha imani kwamba Shetani “hukaa” au “hulala” kwenye pua zenu


“Wakati mmoja wenu akisimama kuswali, Shetani humjia na kumfanya ahisi kana kwamba ameacha hewa (fart). Akiwa na shaka, asivunje Swala mpaka asikie sauti au aone harufu.”

(— Sahih Bukhari 137, Sahih Muslim 361).
Hapo ni shetan anakuwa amemwingiza kidole sehemu hiyo kwa mujib wa tafsiri ya Imam Abbas al Mazrui.
 
Aya za shetani zinasema Allah hakuumba watu na majini ila wamwaudu:
Na zinasema majini yalikuwepo kabla ya watu:
Na kutokana na hizo aya uislamu ulikuwepo toka kuumbwa kwa dunia:

Sasa
Inakuwaje Muhamadi ayasilimishe majini ambayo yalikuwa maislamu na yakimwabudu Allah kabla ya Muhamadi ?

Nasubiri majibu yasiyo na Takiya:

Hivi Muhamadi na Majini ni nani alitangulia kuwa Mwislamu ?

Hapa kwa mantiki ni Majini ndiyo yaliyo msilimisha Muhamadi na kuwa mwislamu kwakuwa yalikuwa Maislamu kabla ya kuzaliwa Muhamadi:

Hivi majini yaliikubalije Qurani ya Allah na kuiona ya ajabu na kuifuata wakati yalisha abudu kwa kutumia vitabu vya Torati, Zaburi na Injiri ya Waislamu wa kale:

Kabla ya Muhamadi majini ambayo yaliumbwa ili kumwadu Allah dini yao ilikuwa ni ipi?

Na kabla ya Qurani kuandikwa mtume wa Majini alikuwa nani?

Yaulizeni majini ambayo yaliabudu mwanzo kabisa kwa kutumia vitabu vya Allah vya Torati, Zaburi, na Injiri kuwa ni nani alivitia mkono na kuviharibu:

Na wakati vitabu hivyo vya Allah vikiharibiwa na binadamu ni kwanini Majini yasilete hivyo vitabu original ambavyo walipewa na Mungu wao Allah ?

Au na hao Waislamu Majini waliviharibu hivyo vitabu
na wakakosa hadi kuhifadhi maneno ya Allah kifuani mwao ?
 
Quran inamsingizia Suleiman,

Suleiman ni myahudi ,kabila la Yuda ,

Quran imejaa UPOTOSHAJI mkubwa
Kwa hyo akiwa myahudi hawezi kuwa muislam?hivi unajua kuwa uyahudi ni utaifa Wala sio dini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom