Mubashara: Sahara media warudi hewani

Mubashara: Sahara media warudi hewani

Kuna watu mmeumia sana sahara kurejea hewani mtakufa na vijiba vya roho mbaya watu tulikuwa tumekoswa radio ya kusikiliza vipindi moto moto
hujaelewa mtoa post anamaanisha nini? Serikali kupitia TRA iliutangazia umma kwamba Sahara Media wanadaiwa shs 4.5b malimbikizo ya kodi hivyo wanafungiwa hadi walipe. Kwa mwenye akili timamu anayejitambua lazima ahoji/ajihoji mbona walewale hawajatangaza kwamba deni limelipwa lote au kiasi gani au kuna makubaliano gani. Hivi wewe hutaki kujua hili? Kujiamini kulekule walipotangaza kufungia, pia watangaze kuifungulia na sababu waitaje
 
MKuu unaweza kwenda TRA kuuliza swali lako maana hapa tutabaki kukisia tu.
 
hujaelewa mtoa post anamaanisha nini? Serikali kupitia TRA iliutangazia umma kwamba Sahara Media wanadaiwa shs 4.5b malimbikizo ya kodi hivyo wanafungiwa hadi walipe. Kwa mwenye akili timamu anayejitambua lazima ahoji/ajihoji mbona walewale hawajatangaza kwamba deni limelipwa lote au kiasi gani au kuna makubaliano gani. Hivi wewe hutaki kujua hili? Kujiamini kulekule walipotangaza kufungia, pia watangaze kuifungulia na sababu waitaje
Point mkuu
 
hulka ya mwanadabu ni ubinafsi hivyo akiona mwenzake alieanzisha kitu kinakufa yeye anafurahia.....hivyo sishangai kuona hata watu wakikasirika kwanini imerudi hewani na kwa wale wapenda maendeleo kufurahia kwakua kuna watanzania wangepoteza ajira zao huku wakitegemewa na watu kibao nyuma yao.
 
Hahahahaha aliechanhanyikiwa ni huyo anaeogopa kivuli,anaogopa hata MTU kwenda kuwashukuru wapiga kura tu,anaogopa na kusema hamna ruksa kufanya siasa,amefikia anazunguka mwenyewe nchi yote lkn bado anasema Mimi nampongeza mpinzani mwenye kufanya mambo ya ccm,sasa kwa akili yako wewe mpinzani anaweza Fanya mambo ya ccm,a support mikataba ya kuuza rasilimali zetu,apite makofi kwa kila jambo la kipuuzi huyo ni mpinzani au ccm B,huyo ndio alie changanyikiwa.
Hivi ukisoma ulichoandika mwenyewe unaelewa?
 
hulka ya mwanadabu ni ubinafsi hivyo akiona mwenzake alieanzisha kitu kinakufa yeye anafurahia.....hivyo sishangai kuona hata watu wakikasirika kwanini imerudi hewani na kwa wale wapenda maendeleo kufurahia kwakua kuna watanzania wangepoteza ajira zao huku wakitegemewa na watu kibao nyuma yao.
Aisee ni kweli kabisa, Dialo hawezi kupata shida shida ni hawa wafanyakazi wa Sahara Group.
 
Utamtaka wewe na njaa zako kama hizo media, huyo mange Kimambi aliye surrender ni wa chato au wapi....au hiyo page unaona peke ako yako tu....

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una maana Mange Kimambi bado anapayuka huko US kuhusu Bashite? Maana alianza kuomba michango ya MAZUZU baada ya wale wauza madawa ya kulevya kupunguza ufadhili.
 
Back
Top Bottom