Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,869
- 29,031
Itakuwa imerudi kwa kimemo
Je wamelipa kodi kabla ya kuweka mambo sawaBado ijafahamika mkuu Baada ya kufungiwa na TCRA kwa ukwepaji wa kodi sasa vyombo vya utanfangazaji vya Sahara media (tv, Radio free Africa na KISS FM RADIO) Usiku huu vimerudi angani mubashahara!!
Ni Imani yangu watakuwa wameweka Sawa mambo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nilipo niko nasikiliza RadioImerudi hewani lini, maana nimetoka kuiangalia sa 1 hivi sa 2 kasoro ni france 24.
Ninachojua haijawahi kukata mawasiliano ila matangazo yake ndio ya ajabu ajabu mara kingereza, mara kiarabu mara chaneli za kifaransa nk.
Imerudi kweli nimeangalia BBC yasaa 3.Imerudi hewani lini, maana nimetoka kuiangalia sa 1 hivi sa 2 kasoro ni france 24.
Ninachojua haijawahi kukata mawasiliano ila matangazo yake ndio ya ajabu ajabu mara kingereza, mara kiarabu mara chaneli za kifaransa nk.
Kabisandiyo ajue hukumu ya dhambi ni mauti, alizidi kujipendekeza
Now wapo hewani mkuu log yao ya star ipoImerudi hewani lini, maana nimetoka kuiangalia sa 1 hivi sa 2 kasoro ni france 24.
Ninachojua haijawahi kukata mawasiliano ila matangazo yake ndio ya ajabu ajabu mara kingereza, mara kiarabu mara chaneli za kifaransa nk.
Radio free imerudi hewani mkuu?Hapa nilipo niko nasikiliza Radio
huenda nikawa nalohawajalipa.una swali lingine?
mda huu wapo kwa hewaDa nimemis tamthilia ya the promise ila dialo wacha uisome no
kama kuna mtu hajalipa deni akalipe ili asije fungiwaIlikuwa changa la macho, kuna anaetafutwa ili twenty twenty waweze kufanya yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntaangalia marudio keshoDa nimemis tamthilia ya the promise ila dialo wacha uisome no