Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,018
Naskia TRA ili wa ambia walipe 2B kati 4.5B wanazo daiwa ili waendelee.
Pia naskia wamepata 5B kutoka nje. Kuna shirika linakuja kuwa mbia wa Sahara Media, hivyo tutarajie either ku uzwa au joint ownership ya SAHARA MEDIA. Walichelewa kufunguliwa kutokana na Clearence ya BOT ya hizo 5B...
JMP KAMATA WEZI
Pia naskia wamepata 5B kutoka nje. Kuna shirika linakuja kuwa mbia wa Sahara Media, hivyo tutarajie either ku uzwa au joint ownership ya SAHARA MEDIA. Walichelewa kufunguliwa kutokana na Clearence ya BOT ya hizo 5B...
JMP KAMATA WEZI
tv, Radio free Africa na KISS FM RADIO) Usiku huu vimerudi angani mubashahara!!