Msumbiji yaanza kusafirisha Gesi kwenda Ulaya

Hio gas ya Msumbiji si inatoka kaskazini kulikotekwa na magaidi ya ISIS. Usalama hakuna Ila gas inasafiri na watu wanashangilia, wao wenyewe Msumbiji wanaitumia?
 
Maswali ya msingi kabisa
Lakini Magufuli alisema gas siyo ya kwetu, iliishachukuliwa!

Na mimi nawauliza CCM, kwa nini gas ilitolewa Mtwara ikaletwa Dar?

Je, nani anasimamia usafirishaji wa gas kutoka Mtwara mpaka Dar?
 
Tatizo letu kila mmoja anakuja na akili zake
Ila tatizo la vyoo kila Rais analikuta na haliishi
Sasa litakuwa la kusafirisha vitu nje kweli
 
Wakati sisi mwaka 2015 tulimuingiza madarakani muhutu ambaye badala ya kuendeleza mazungumzo ya uwekezaji wa gesi alipoyakuta kwa mtangulizi wake aliamua kuachana kabisa na mambo ya gesi leo Msumbiji ambao walitukuta nyuma yetu kwenye masuala ya Gesi wameanza kusafirisha Gesi kuelekea ulaya wakikamata fursa iliyofunguka

Kama Tanzania hatujaamua kuacha Siasa kwenye Utendaji tutazidi kuwa wa mwisho kwenye maendeleo hadi mwisho wa duniaView attachment 2415622
Binafsi sijaelewa hoja yako, Kwamba kusafirisha gesi kwenda Ulaya ni hatua kimaendeleo ?, Najaribu kutizama mchango wa gesi asilia ikiwa itatumika katika uchumi wa ndani na ule utakao patikana kwa kuuza nje.
Sisi umeme mwezi september tulikuwa hatuna maji na national grid ilikuwa na backup ndogo kutoka vyanzo vingine . Kwa upande wetu chanzo pekee ambacho kinapatikana kwa wingi ni Gesi, ambayo pia inatumika Kinyerezi. Jenereta Kigoma imezimwa karibuni tu apo,yani tuagize mafuta kwa bei ya 3,xxx/= alafu gesi ambayo iko Mtwara tu apo ambayo ingekuwa mbadal ndio iende nje.

Pia tukienda katika maswala ya domestic na transportation , ukipata bahati ya kukutana na kijana wa Bolt au InDrive anayetumia gesi jaribu kuzungumza nae jinsi gani inawasaidia.

Sisi tukisema tusikate miti kwaajili ya kupikia na mkaa hatuna chanzo kingine kilicho available kama gesi.
 
mtangulizi wake aliamua kuachana kabisa na mambo ya gesi leo Msumbiji ambao walitukuta nyuma yetu kwenye masuala ya Gesi wameanza kusafirisha Gesi kueleke

Ipo haja rais kubanwa na kuwajibishwa ktk katiba mpya inayokuja pale anapoamua kuacha miradi yenye manufaa


Ona sasa tumeachwa bila mradi wowote uliokamilika mbali ya madaraja ya juu

Video Rais Felipe Nyusi akitangaza mzigo wa mwanzo wa gesi ya LNG

Felipe Jacinto Nyusi, Presidente de Moçambique, proclamou em vídeo o início da primeira exportação de Gás Natural Liquefeito (GNL) produzido na Bacia do Rovuma, região norte de Moçambique, pelo Projecto Coral Sul FLNG. O Carregamento de GNL é o primeiro no âmbito do contrato de compra e venda de longo prazo com a BP, que cobre os volumes totais de GNL produzidos em Moçambique. Moçambique entra para o grupo de países exportadores de gás natural liquefeito, que além de representar uma fonte alternativa de fornecimento, contribui em larga medida para a segurança energética nos países de maior consumo. Nyusi apelou “aos moçambicanos a não tomar a exploração de gás como a única e maior solução para o projecto de desenvolver Moçambique" Source : Miramar TV
 
K

Lete facts kama wazungu wanawapiga msumbiji, acha blah blah na kupiga ramli
subiri facts hivyo hivyo. Wewe unajua kwanini wanavamiwa na wale wanaowaita magaidi. hivi unajua kwanini walishindwa kujenga LNG mpaka wakaamua kusafurish gesi kutumia FLNG kwa maana ya Floating Liquified Natural Gas?
 
Wakati sisi mwaka 2015 tulimuingiza madarakani muhutu ambaye badala ya kuendeleza mazungumzo ya uwekezaji wa gesi alipoyakuta kwa mtangulizi wake aliamua kuachana kabisa na mambo ya gesi leo Msumbiji ambao walitukuta nyuma yetu kwenye masuala ya Gesi wameanza kusafirisha Gesi kuelekea ulaya wakikamata fursa iliyofunguka

Kama Tanzania hatujaamua kuacha Siasa kwenye Utendaji tutazidi kuwa wa mwisho kwenye maendeleo hadi mwisho wa duniaView attachment 2415622
Hahahaa kwsnza ncheke
 
Ipo haja rais kubanwa na kuwajibishwa ktk katiba mpya inayokuja pale anapoamua kuacha miradi yenye manufaa


Ona sasa tumeachwa bila mradi wowote ukiokamilika mbali ya madaraja ya juu

Video Rais Felipe Nyusi akitangaza mzigo wa mwanzo wa gesi ya LNG

Bila katiba mpya Tz itaendela kuibiwa sana na majambazi wa ndani
 
Gas yote mmejimilikisha familia zenu na Wachina mlitaka Magufuli afanye nini!!?
 
Lakini Magufuli alisema gas siyo ya kwetu, iliishachukuliwa!

Na mimi nawauliza CCM, kwa nini gas ilitolewa Mtwara ikaletwa Dar?

Je, nani anasimamia usafirishaji wa gas kutoka Mtwara mpaka Dar?
Na alisema kweli si yakwetu na mkataba wake sio wa nchi hii
 
Tanzania yoyote inayojihusisha na masuala ya CCM haiwezi kusonga kamwe,,,,ni either Tanzania iiache CCM ama CCM iiache Tanzania ndipo tutayaona maendeleo
 
Wapumbavu km nyinyi sijui mtaisha lini.
Ukiweka mada bila kumtaja hayati haitasomwa?
Na unamuita mhutu wakati ww mwenyewe Mnyasa Nyauba mkubwa.
 
Wakati sisi mwaka 2015 tulimuingiza madarakani muhutu ambaye badala ya kuendeleza mazungumzo ya uwekezaji wa gesi alipoyakuta kwa mtangulizi wake aliamua kuachana kabisa na mambo ya gesi
Wewe ngese tu, mmeshindwa hata kutuhakikishia upatikanaji wa maji na umeme mtaweza wapi habari ya gesi?
Mnasingizia ukame, mbona hata Mwanza iliyoko ziwani haina maji? Kwani ziwa limekauka? Mara moja moja muwe mnaficha ujinga wenu na kutomlaumu asiyekuwepo, mje na solutions zenu za changamoto zinazotukabiri.
 
Wakati sisi mwaka 2015 tulimuingiza madarakani muhutu ambaye badala ya kuendeleza mazungumzo ya uwekezaji wa gesi alipoyakuta kwa mtangulizi wake aliamua kuachana kabisa na mambo ya gesi leo Msumbiji ambao walitukuta nyuma yetu kwenye masuala ya Gesi wameanza kusafirisha Gesi kuelekea ulaya wakikamata fursa iliyofunguka

Kama Tanzania hatujaamua kuacha Siasa kwenye Utendaji tutazidi kuwa wa mwisho kwenye maendeleo hadi mwisho wa duniaView attachment 2415622
Mkubwa siyo hivyo angalia meli nyekundu ndio possessing plant,sio fixed plant.
Wewe unakusudia KUJENGA mtambo huo nchi kavu.Kama ungehitaji meli sampuli hizo ready made hata mwaka huu ungeanza kuzalisha LNG.
Japo sio lazima kujenga mtambo nchi kavu,kwa hali ya upatikanaji wa gesi Ulaya inabidi kujiongeza kutumia meli maalumu za kuzalisha hiyo gesi.
 
Back
Top Bottom