Msumbiji yaanza kusafirisha Gesi kwenda Ulaya

Wakati sisi mwaka 2015 tulimuingiza madarakani muhutu ambaye badala ya kuendeleza mazungumzo ya uwekezaji wa gesi alipoyakuta kwa mtangulizi wake aliamua kuachana kabisa na mambo ya gesi leo Msumbiji ambao walitukuta nyuma yetu kwenye masuala ya Gesi wameanza kusafirisha Gesi kuelekea ulaya wakikamata fursa iliyofunguka

Kama Tanzania hatujaamua kuacha Siasa kwenye Utendaji tutazidi kuwa wa mwisho kwenye maendeleo hadi mwisho wa duniaView attachment 2415622
issue sio kusafirisha, hata sisi tunasafirisha madini. issue ni je kama taifa la msumbij linafaidika na hiyo gesi? au wanafaidika wanasisa tu na wazungu. sisi watz ni hovyo sana baads ya kujiuliza maswali ya msingi wa hizo project tunaangalia tu matokeo. wewe unajua kweye hiyo project wazungu wamewapiga msumbiji kwa kiasi gani. mpaka sasa asilimia zaidi ya 60 ya umeme wetu ni wa gesi. ushajiuliza kwanini tunashindwa kuitumia hiyo gesi hata hapa ndani tu tupate umeme wa uhakika? badala yake tunaambiwa mabwa yamekauka.
 
Kwa sasa kimekushinda nini?

Upatikanaji tu wa umeme umekushinda, kila siku tupo kwenye mgao usioisha, uongelee kusafirisha gas?

Kwa uwezo upi ulionao wewe Januuu--- ary?

Endeleeni kumlaumu asiyekuwepo, Mara paap, 2025, Sjui mtamsingizia Nani nyinyi wehu,!
Nami hawa walamba asali hapa ndo tunatofautiana. The late was about the country and its people ulinganishe na mikataba ya january. Mburaaa
 
Wakati sisi mwaka 2015 tulimuingiza madarakani muhutu ambaye badala ya kuendeleza mazungumzo ya uwekezaji wa gesi alipoyakuta kwa mtangulizi wake aliamua kuachana kabisa na mambo ya gesi leo Msumbiji ambao walitukuta nyuma yetu kwenye masuala ya Gesi wameanza kusafirisha Gesi kuelekea ulaya wakikamata fursa iliyofunguka

Kama Tanzania hatujaamua kuacha Siasa kwenye Utendaji tutazidi kuwa wa mwisho kwenye maendeleo hadi mwisho wa duniaView attachment 2415622

Hiyo gesi ina wenyewe, huna chako pale
 
K
issue sio kusafirisha, hata sisi tunasafirisha madini. issue ni je kama taifa la msumbij linafaidika na hiyo gesi? au wanafaidika wanasisa tu na wazungu. sisi watz ni hovyo sana baads ya kujiuliza maswali ya msingi wa hizo project tunaangalia tu matokeo. wewe unajua kweye hiyo project wazungu wamewapiga msumbiji kwa kiasi gani. mpaka sasa asilimia zaidi ya 60 ya umeme wetu ni wa gesi. ushajiuliza kwanini tunashindwa kuitumia hiyo gesi hata hapa ndani tu tupate umeme wa uhakika? badala yake tunaambiwa mabwa yamekauka.
Lete facts kama wazungu wanawapiga msumbiji, acha blah blah na kupiga ramli
 
Sasa ni wakati makampuni ya Tz yaanze nunua hapo karibu ili tuuziwe gesi bei ndogo
 
1. Je tumlaumu pia Nyerere kwa kuzuia rasimali madini kuchimbwa?
2. Je wana msumbiji wanafaidika na hio gas, au picha tu imekutoa mapovu?
3. Kipi ni sahihi,kuto kuchimba gas au kuchimba gas ila usifaidike nayo?
Tujadili haya maswali kwa data, km Critical thinkers
 
Wakati sisi mwaka 2015 tulimuingiza madarakani muhutu ambaye badala ya kuendeleza mazungumzo ya uwekezaji wa gesi alipoyakuta kwa mtangulizi wake aliamua kuachana kabisa na mambo ya gesi leo Msumbiji ambao walitukuta nyuma yetu kwenye masuala ya Gesi wameanza kusafirisha Gesi kuelekea ulaya wakikamata fursa iliyofunguka

Kama Tanzania hatujaamua kuacha Siasa kwenye Utendaji tutazidi kuwa wa mwisho kwenye maendeleo hadi mwisho wa duniaView attachment 2415622
🤔🤔🤔 msumbiji wanasafirisha gas lakini nani anayejua kuwa msumbiji wameingia mkataba gani na uo mkataba unawanufaisha vipi.

kumbuka kila mtu na mahitaji yake kwako afu tatu inaweza ikawa pesa yako ya kula siku nzima alafu kuna mtu afutatu kwake ni pesa ya pipi tu
 
Wakati sisi mwaka 2015 tulimuingiza madarakani muhutu ambaye badala ya kuendeleza mazungumzo ya uwekezaji wa gesi alipoyakuta kwa mtangulizi wake aliamua kuachana kabisa na mambo ya gesi leo Msumbiji ambao walitukuta nyuma yetu kwenye masuala ya Gesi wameanza kusafirisha Gesi kuelekea ulaya wakikamata fursa iliyofunguka

Kama Tanzania hatujaamua kuacha Siasa kwenye Utendaji tutazidi kuwa wa mwisho kwenye maendeleo hadi mwisho wa duniaView attachment 2415622
Huzuni yako na masikitiko yako vinaonekana ni uongo kwa sababu umeanza na uongo - Tanzania kuna kabila la wahutu ambao ni wengi mno mkoa wa Katavi, ila uongo wako ni kwamba hakuna Muhutu ambaye alichukua madaraka mwaka 2015 nchi Tanzania.
Siyo utani, wahutu wapo Tanzania (wengi mikoa ya Katavi na Kigoma - naturalised citizens of Tanzania) na lazima waheshimiwe kama makabila mengine ie wachaga, wapare, waarusha, wairaqui, wamaasai etc.
Wahutu, wameingia Tanzania wengi kufuata vita vya mara kwa mara katika Burundi na katika Rwanda. Wengi wao walipewa utaifa wa Tanzania lakini kabila lao halikubadilika na kuwa wachaga! Hivyo unapotumia kabila lao kama tusi au kejeli unakosea. Wengine wametumia maneno kama kichaa, mwendawazimu, mwendazake etc, tunaweza kuwapuuzia! Lakini, wewe hapana. Umekosea!
 
Back
Top Bottom