Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Khaa..! Siwez endelea kubishana zaid, kama pesa inazidi thamani ya uhai wako.
Mkuu nadhani hujui unachokisema. Kila kazi ina risk zake. Madaktari wangapi wanawatibu wagonjwa wa UKIMWI bila groves? Walimu wangapi wamefungwa maisha kwa kutembea na wanafunzi? Wafanyakazi wangapi wa TANESCO wamefia kwenye nyaya? Hivi mnadhani jeshi ndo kazi ngumu kuliko zote?
Acheni dharau.
 
Mkuu nadhani hujui unachokisema. Kila kazi ina risk zake. Madaktari wangapi wanawatibu wagonjwa wa UKIMWI bila groves? Walimu wangapi wamefungwa maisha kwa kutembea na wanafunzi? Wafanyakazi wangapi wa TANESCO wamefia kwenye nyaya? Hivi mnadhani jeshi ndo kazi ngumu kuliko zote?
Acheni dharau.
Upo O.P
 
Hapa upo sahihi unaweza kuta adui anataka amkadilie askari amnunue vip....so kwanza ajue jamaa anafaidikaje na analopewa na nchi...

Hapa bongo adui anaweza kupata taarifa anazo zitaka kwa urahisi sana, kwenye social media watu wanataka funguka kila kitu kuhusu nchi??
Ulichokiandika ndicho anachokitaka hasa jamaa uzuri nilipata kupitia kidogo mambo ya udukuzi hivyo nawajua vizuri hawa watu.
 
Siasa umeisema wewe. Katika hali ya kidemokrasia kila mtu ana haki ya kuwa na mtazamo wake. Kama una mtazamo tofauti kuwa huru kuzungumza kwa upande wako.
Sidhani kama Jeshini wanatumia Demokrasia kule.
 
Ulichokiandika ndicho anachokitaka hasa jamaa uzuri nilipata kupitia kidogo mambo ya udukuzi hivyo nawajua vizuri hawa watu.
Yaaani adui anaitaji siri za jeshi anatumia Jamiiforums? Labda wale maadui watatu alowasema Mwalimu Jk.

Hivi unajua mpaka sasa jeshi letu linatumia Yahoo?
Jaribu kupitia michango yangu utanielewa
 
Mkuu nadhani hujui unachokisema. Kila kazi ina risk zake. Madaktari wangapi wanawatibu wagonjwa wa UKIMWI bila groves? Walimu wangapi wamefungwa maisha kwa kutembea na wanafunzi? Wafanyakazi wangapi wa TANESCO wamefia kwenye nyaya? Hivi mnadhani jeshi ndo kazi ngumu kuliko zote?
Acheni dharau.
Hahahahahahahahahahahahahaha we jamaa umenifurahisha sana eti risk ya mwalimu ni ipi!!?!

Bila kuathiri flow ya mjadala naomba kukuita #kilaza.
 
Jamaa angeuliza mshahara wa askari polisi au mwalimu angekuwa keshajibiwa muda sana lakini kwa sababu kauliza JW basi imekuwa ni sarakasi zisizo na maana. Mara wapo kwa ajili ya manufaa ya Taifa, kwani wengine wapo kwa manufaa ya nini?Na hebu wasilipwe mishahara tuone kama hawajaingia barabarani kuandamana.
 
Yaaani adui anaitaji siri za jeshi anatumia Jamiiforums? Labda wale maadui watatu alowasema Mwalimu Jk.

Hivi unajua mpaka sasa jeshi letu linatumia Yahoo?
Jaribu kupitia michango yangu utanielewa
Ivi unafikiri watu wangapi wanapitia humu? Na je wote ni wema kwa taifa? Kingine ujue adui yako anahitaji taarifa ndogo sana kutoka kwako hivyo hakuna siri ndogo wala kubwa.
 
Ivi unafikiri watu wangapi wanapitia humu? Na je wote ni wema kwa taifa? Kingine ujue adui yako anahitaji taarifa ndogo sana kutoka kwako hivyo hakuna siri ndogo wala kubwa.
Wewe umesema ni mdukuzi, hivi mtu kama ni adui anataka kuvamia taifa atashindwa kudukua taarifa za kijeshi?
Labda kama unaongelea adui wa mwanajeshi mmoja mmoja
 
Unaniita mi mpumbavu? Hujui kujibu hoja bila matusi? Wazoee wenye level zako mkuu kwa heshima mi Siwezi nikabishana na wewe ambaye mambo unayapeleka kienyeji utadhani jeshini ni tempo ya kufundisha, kila Taasisi ina miiko yake, sio kila sehemu utatajiwa mshahara, jeshi hatuiti ajira ni kujitolea kwa uzalendo na kulinda taifa,

Ila naomba tafadhali usirudie tena kunitusi maana hatufahamiani pia hakukuwa na ulazima wa kufanya hivyo, ukikataa kueleweshwa humu nenda ngerengere 92kj uulize malipo, utaeleweshwa na salary slip utaonyeshwa, ni wakarim mno hujapata kuona.
wewe mtu kuuliza mshahara kutoka kwa wanajeshi waliomo humu jf kinakuuma nini? kwani wanatumia kifurushi chako kumjibu mhusika? mbona una roho ya KICHAWI hivyo?
 
Wewe umesema ni mdukuzi, hivi mtu kama ni adui anataka kuvamia taifa atashindwa kudukua taarifa za kijeshi?
Labda kama unaongelea adui wa mwanajeshi mmoja mmoja
Sasa njia mojawapo ya kudukua ni hii anajua Watz ni waropokaji sana kwenye social media mtasema tu.
 
Back
Top Bottom