Wakuu kama huwezi sema apa nitumie private message kunipa hata 'round figure' ya mshaara atakaoanzia kijana atakayefuzu mafunzo ya JWTZ akijiunga kwa elimu hizi;
1. Form six.
2. Shahada moja.
Sababu.
Nina vijana wangu wengi wanaimba tuu kuwa jeshini unapata mshahara mkubwa na maisha ni kitonga baada ya mafunzo.
Hahaaaaa umeona eeeeh!!!!Kama umetumwa kawaambie waliokutuma kuwa sijawakuta wahusika.
Hapa nahisi yafuatayo...Duuuh wanajeshi si watuu ni wanyama walee
Kila mtu anakushangaa ulichoandika hapa, kwendraaaaaHapa nahisi yafuatayo...
1. Ulingia anga zao ukafanya kosa ukategemea utachekewa, ila ukakutana na kibano.
Au
2. Umekuwa looser ukatoswa na umpendae , kuja kugundua reason mjeda.
N.B Binadamu wote ni wanyama ila kama unamaanisha unyama kuw hawana utu si kweli, maan kipindi ulicho lala wew wenzako wapo mipakani wanalind adui asiingie ndani.
Wajeda daily wanashnda na bunduki ausikiii wameenda kuwafata adui zao nyumban kwao na kwenda kuua lakin nyie mlio mtaani mna panga tu au kisu lakini mnacharangana. Nani katili hapo..
Usikariri
Kwanini iwe Siri, hovyooooMshahara ni siri Kati ya mwajiri na mwajiriwa.
hao wadogo zako waambie kbla ya kuwaza mshahara wajitafakari kama wana spirit ya kua wanajeshi uanajeshi ni zaid ya mshahara waambie wape ujumbe huu...... "No pain shall.make us cry.soldiers we were born and we shall die.we live by chance,love by choice and kill by professional.we miss home bcoz we save homes......" THINK BIG.Wakuu kama huwezi sema apa nitumie private message kunipa hata 'round figure' ya mshaara atakaoanzia kijana atakayefuzu mafunzo ya JWTZ akijiunga kwa elimu hizi;
1. Form six.
2. Shahada moja.
Sababu.
Nina vijana wangu wengi wanaimba tuu kuwa jeshini unapata mshahara mkubwa na maisha ni kitonga baada ya mafunzo.
Mkuuu nna kreti lako la bia, umewapa za uso mbaya, asante sana1. Posho ya mbunge.
2. mshahara wa rais.
3. mshahara wa mkurugenz wa NHC...
sasa raia wanataka wajue mshahara wa mwanajeshi....
baadae... TISS, TRA, Mawaziri na Wakurugenzi(tamisemi), mabalozi, wakuu wa mikoa na wilaya...
Wewe Ni pancha, kwisha kaziunauliza mshahara wa.....!? kwanza mwanajeshi hana mshahara sababu anajitolea tu
Naona umejipanga kuja kututishia huku, pole yakoHivi wewe mbna huna kauli nzuri? Kusema kuwa wewe ni mbabe sana au malezi uliyolelewa? Umeshaelekezwa vizuri kuhusu jambo hili kwa nn unaharasi watu kam wewe ndo umeuliza hili swali? Jifunze kuw mpole na mwenye kushinda jazba, zitakugharimu siku za usoni
We jamaa chakula nini kazi ya Jeshi ni wito kana unataka mshahara tafuta kazi zingine mbona zipo nyingi tu na mishahara yao minono. We unamjua aliyeuliza ni nani na ana lengo gani sio kila kitu ulete ubishi wa siasa sasa wewe kama unajua sema.ingekugharimu nini kusema hujui ama kupita kimya? Idara nyeti kwani hiyo pesa yake inatoka wapi kama si kodi zetu. Unadhani vijana wasomi watahamasika vipi kwenda jeshini bila kujua manufaa yake ikiwemo mshahara?