Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Hivi wew thaman ya uhai wa mtu unaweza linganishwa na kiasi cha pesa??
Kiuhalisia na maisha yalivyo sasa uhai wa mtu hauna thamani kwa pesa,tatizo unaleta injili kwa jambo lisilohitaji injili,sema ukweli katika Dunia uishiyo.
 
Kiuhalisia na maisha yalivyo sasa uhai wa mtu hauna thamani kwa pesa,tatizo unaleta injili kwa jambo lisilohitaji injili,sema ukweli katika Dunia uishiyo.
Khaa..! Siwez endelea kubishana zaid, kama pesa inazidi thamani ya uhai wako.
 
Watanzania tumejaa unafiki, Woga na Ujinga sana.
Mleta mada amekuja na Swali zuri sana, tena lina faida kwa watu wengi, ila kuna watu badala ya kujibu wameishia kumtukana, kumbeza na kumsimanga. Hii si sawa kabisa.

Mshahara sio jambo la siri, ni jambo la wazi kabisa, kwa sababu unapaswa kukatwa Kodi, Una viwango vyake, Unajadilika, Unahojika nk.

Ni ukweli ulio wazi kabisa, katika zama hizi ambazo ajira ni Tatizo kubwa sana na pia ugumu wa maisha unaumiza watu wengi, suala la kusaka ajira popote pale na Suala la kujua kiwango cha malipo ya mshahara kabla ya kuajiriwa, ni mambo ambayo huwezi kuyakwepa na ni lazima yajadiliwe wazi wazi tena kwa mapana.

Zile hadithi za Kale za Uzalendo, Wito, Kujitolea nk hazipo tena katika zama hizi. Huo ndio ukweli wenyewe.
 
wewe mpuuzi nini? humu jf kuna wanajeshi na tayari wameishmuambia PM...wewe shida yako ni nini? kama hujui jambo kaa kimya kuliko kuonyesha upumbaFU wako hadharani. wewe ulitaka akaulize wapi? acha upuuzi wako.
Wewe tunakujua sana, ni shabiki mzuri wa chadema/ukawa na kile kikosi chenu cha red brigade, pia ndio wewe uliyetaka kujua ulichouliza japo umetumia I'd tofauti, sijui una ajenda gani na mpango wako huo wa kuulizia mishahara ya wanajeshi wetu?
wewe kinakuuma nini? wakiuliza mshahara wako utapungua? mpuuzi mkubwa!

wewe mwambie mshahara...kama hujui kaa kimya...kushindwa kwake jeshi hakukuhusu.
 
Mbona sioni jibu kulingana na swali la mleta mada...naona porojo tu sizokuwa na msingi..kama huna jibu kaa kimya
Alitoa njia mbili za kumjibu kupitia PM na hapa jamvini kama hapa jibu halijatoka lipo PM
 
my cousin yuko huko na ni form four..aliniambia katikati ya mwezi anaprwa laki 3 na mwisho wa mwezi anapewa take home ya 500500.pia yeye yuko huko kigoma wanalinda mpaka hivyo ofisi ya waziri mkuu inawapa150000 kama posho kila mwezi.
 
Kazi yyte ile ya kujitolea haina mshahara na jeshi ni kujitolea unapewa posho tu.
 
Mbona mishahara ya kada nyingine kama walimu unaianika hapa?
Mishahara ya jeshi huwa haitangazwi. Hata wafanyakazi wengine wa serikalini wanapopandishiwa mishahara huwezi sikia mishahara ya wanajeshi ikiwekwa wazi. Ni confidencial..
 
Watanzania tumejaa unafiki, Woga na Ujinga sana.
Mleta mada amekuja na Swali zuri sana, tena lina faida kwa watu wengi, ila kuna watu badala ya kujibu wameishia kumtukana, kumbeza na kumsimanga. Hii si sawa kabisa.

Mshahara sio jambo la siri, ni jambo la wazi kabisa, kwa sababu unapaswa kukatwa Kodi, Una viwango vyake, Unajadilika, Unahojika nk.

Ni ukweli ulio wazi kabisa, katika zama hizi ambazo ajira ni Tatizo kubwa sana na pia ugumu wa maisha unaumiza watu wengi, suala la kusaka ajira popote pale na Suala la kujua kiwango cha malipo ya mshahara kabla ya kuajiriwa, ni mambo ambayo huwezi kuyakwepa na ni lazima yajadiliwe wazi wazi tena kwa mapana.

Zile hadithi za Kale za Uzalendo, Wito, Kujitolea nk hazipo tena katika zama hizi. Huo ndio ukweli wenyewe.
Kweli mkuu
 
Back
Top Bottom