StraTon MemPhis GhaZar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 592
- 391
Jibu zuuri saaaana umelijibu ila kwa mwelewa ndo atalielewa...Kazi ya jeshi lazma uwe mzalendo, hakuna mshahara unaoweza kuzidi uhuru na haki ya kuishi, mwanajeshi ni mtu ambaye uhai wake ameutoa bila kujali gharama, hao vijana wako lazma wajue hilo.
Na mtoa mada kama ni boy tena straight.... atakuwa ashapata jibu tosha na atakausha ila akiwa kaka voda hawezi elewa.
"HAKUNA MSHAHARA UNAOWEZA KUZIDI UHURI NA HAKI YA KUISHI"
nani yuko tayar kufa kwa niaba ya wengine...
Acheni vyombo vya ulinzi vilipwe vyovyote aisee... its matter of patriotism na sio pesa wala umaarufu