Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 5,958
- 15,168
Acheni uswahili uswahili wakuu....Maswali gani hayo mkuu..
Uliza maswali yenye challenges, siyo unauliza definition au objectives za PEPMIS kitu ambacho ni known to everyone.
Acheni uswahili uswahili wakuu....Maswali gani hayo mkuu..
Uliza maswali yenye challenges, siyo unauliza definition au objectives za PEPMIS kitu ambacho ni known to everyone.
Tupo wengi mkuu, mpaka nimepiga simu utumishi...daahHuku bado bila bila!... Ni Mimi tu au na wengine mpo?!..
Wewe na HR wako mko dunia yenu peke yenu😀😀Acheni uswahili uswahili wakuu....
Au itakuwa walimu tu?Tupo wengi mkuu, mpaka nimepiga simu utumishi...daah
Ndo maisha ya watumishi wengi. Mishahara ya Serikali bado iko chini haiendani na hali halisi ya uchumi na mahitaji, hii inachangia kazi ya kupambana na rushwa kuwa ngumu. Kwa mtumishi ili kupambana na hali hii kuna haja ya kuwa shughuli ya ziada ya kuongeza kipato ili kuziba hilo gap.Mie mshahara ukitoka hata siku 7 sitoboi ushaisha 😀😀
Walimu wengi wamepata,siye wenye herufi za mwishoni,waliacha wakasema tutamalizia jumatatu😓🙌Au itakuwa walimu tu?
Poleee ,,Mkuu vipi response yaoTupo wengi mkuu, mpaka nimepiga simu utumishi...daah
Kutakuwa na shida personal kama ni ivo.Walimu wengi wamepata,siye wenye herufi za mwishoni,waliacha wakasema tutamalizia jumatatu😓🙌
Kanijibu ndiyo wanakamilisha mambo ili Leo wote tukamilishiwePoleee ,,Mkuu vipi response yao
Nimesemea tu mkuu,lakini nimejibiwa vizuri tuKutakuwa na shida personal kama ni ivo.
Haiwezekani hiyo ikawa sababu ya wengine kutopata..
Lengo la ess/pepmis ni kubana watumishi wakiwa kazini. Hayo ya salary, loans, ni ya ziada tu.Wewe na HR wako mko dunia yenu peke yenu😀😀
Mkuu si tumeshakubaliana ufanye kama ulivyoelekezwa na HR wako!Lengo la ess/pepmis ni kubana watumishi wakiwa kazini. Hayo ya salary, loans, ni ya ziada tu.
Sasa akiwa masomoni unambana vipi huyo mtumishi mkuu wakati unavyoenda kusoma kuna Barua pale lazima uambatanishe kuwa hutakuwa kazini siku fulani hadi siku fulani. 😅😅.
Serikali ishashindwa majukumu yake, apewe muekezaji.Tupo wengi mkuu, mpaka nimepiga simu utumishi...daah
Acha kabisa, weekend ya maluweluweDuh hongera, after a long wait
Wengine bila bilaHatimaye NMB ndo inatema sahivi