Daah! Mbavu zangu kwamba. Ooo raba shaka shakarabaaaaa Nilisema 🤣🤣Na wakipatia huwa wana mbwembwe Utasikia Ooo raba shaka shakarabaaaaa Nilisema 🤣🤣
Sahihi kabisa kama mbunge msukuma alivyokuwa anawanunua watu vijijini nakuja kuwafufua huku..Hawa wanaweza kumuua mtu wenyewe ili utabiri wao utimie wapige pesa za sadaka na maji ya upako.
😂😂😂😂😂 Kuna yule alitabiri mwisho wa dunia saiv tushamzikaNa wakipatia huwa wana mbwembwe Utasikia Ooo raba shaka shakarabaaaaa Nilisema 🤣🤣
TomasoHawa wanaweza kumuua mtu wenyewe ili utabiri wao utimie wapige pesa za sadaka na maji ya upako.
Bila ya watu kuhoji vitu kimantiki hata hii internet usingekuwa nayo leo hii.Tomaso
Kabisa aiseee....Hawa wanaweza kumuua mtu wenyewe ili utabiri wao utimie wapige pesa za sadaka na maji ya upako.
hahahahahahahahaNa wakipatia huwa wana mbwembwe Utasikia Ooo raba shaka shakarabaaaaa Nilisema 🤣🤣
Kuwa atakufa lin kivp mkuu sijakupata bado?Utabiri wa kutabiri mtu atakufa huwa ni wa kweli asilimia zote coz Kila mtu atakufa
Ila kutabiri atakufa lini na wapi hapo ni uongo
Wahuni au kama kweli watu wa rohoni watabiri saa na tareheWatu wengi watabeza sana hii kitu, lkn hao watu warohoni haijalishi wako upande wa Nuru au giza wanaweza wakuona vitu kama hivi so hii tyr ni taa nyekundu kwa alietabiriwa..