cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,683
- 137,424
Khaaaaah0713291348
Khaaaaah0713291348
Yaaan anashangaza kwa kweli huyu mtuDuh una bahati ya kumpata wife material ambao ni ki kizazi ambacho kinapotea duniani lakini ana bahati mbaya kampata mwanaume ambaye amejaza makamasi kichwani. Watu wanahangaika wapate wapi wa namna hiyo ambao wapo bize na watoto, miradi na tayari walishakana usichana wapo kifamilia zaidi na hata maisha yakidunda mjini mnaweza kwenda kijijini kuanza moja na mkaishi wewe akili yako ipo kwa magumegume ya mjini ambayo yanapenda kujiremba ili kuendelea.......
MmmhWeka picha yake wakupe muongozo...
Tena sanaMkeo mchafu
Kwa mawazo yako mkuu unaweza hata kumulazimisha ajichumbueWakuu habari.
Nimeoa na nina mwaka na nusu wa ndoa sasa. Nina tatizo ambalo ninahitaji ushauri kwa wazoefu. Binafsi napenda mwanamke anayependeza na kujijali, na napenda awe mke wangu ili nisilazimike kutoka huko nje kuchepuka.
Sasa nina mke wangu hapendi kusuka, yaani kichwani yupo rough, mara chache (mara moja kwa miezi minne hivi) ndio huwa anakubali kwenda saluni kusuka tena kwa ugomvi.
Hela za saluni kila mwezi natenga elfu hamsini hadi sabini hivi (kwa uwezo wangu wa kipato) ila mtihani ni kumshawishi akubali. Mara kadhaa nimejikuta natembea na vibinti vinavyopendeza au vinavyokubali nivipendezeshe nje ila hili linanikwaza sana maana sipendi kumsaliti. Hata kumtoa kwenda kununua nguo nzuri hataki mara nyingi.
Nahitaji ushauri namfanyaje huyu mke wangu ili moyo wangu uweze kutulia.
Asanteni.
AMEGUNDUA KUWA UNACHEPUKA, NDIYO MAANA KAAMUA KUJIWEKA OVYO OVYO ILI USIMTAANI KABISA NA UMCHUKIENi watu wa Arusha tena mjini kabisa. Kipindi cha uchumba alikua akipendeza haswa sasa sijui ninini kimempata. inanitia simanzi
Sasa wakati mnakutana hadi mkapendana, uchumba mpaka akaja kuwa mkeo haya yote ulikuwa huyaoni??Wakuu habari.
Nimeoa na nina mwaka na nusu wa ndoa sasa. Nina tatizo ambalo ninahitaji ushauri kwa wazoefu. Binafsi napenda mwanamke anayependeza na kujijali, na napenda awe mke wangu ili nisilazimike kutoka huko nje kuchepuka.
Sasa nina mke wangu hapendi kusuka, yaani kichwani yupo rough, mara chache (mara moja kwa miezi minne hivi) ndio huwa anakubali kwenda saluni kusuka tena kwa ugomvi.
Hela za saluni kila mwezi natenga elfu hamsini hadi sabini hivi (kwa uwezo wangu wa kipato) ila mtihani ni kumshawishi akubali. Mara kadhaa nimejikuta natembea na vibinti vinavyopendeza au vinavyokubali nivipendezeshe nje ila hili linanikwaza sana maana sipendi kumsaliti. Hata kumtoa kwenda kununua nguo nzuri hataki mara nyingi.
Nahitaji ushauri namfanyaje huyu mke wangu ili moyo wangu uweze kutulia.
Asanteni.