No way the guy loves her, kina nyie hilo swala wala haliwasumbui😂😂😂😂Wow..!, she must be very special.. tumpikie na chakula tumlishe😃😄😁
Tafuta mrembo wa maana ,,,Wakuu habari.
Nimeoa na nina mwaka na nusu wa ndoa sasa. Nina tatizo ambalo ninahitaji ushauri kwa wazoefu. Binafsi napenda mwanamke anayependeza na kujijali, na napenda awe mke wangu ili nisilazimike kutoka huko nje kuchepuka.
Sasa nina mke wangu hapendi kusuka, yaani kichwani yupo rough, mara chache (mara moja kwa miezi minne hivi) ndio huwa anakubali kwenda saluni kusuka tena kwa ugomvi.
Hela za saluni kila mwezi natenga elfu hamsini hadi sabini hivi (kwa uwezo wangu wa kipato) ila mtihani ni kumshawishi akubali. Mara kadhaa nimejikuta natembea na vibinti vinavyopendeza au vinavyokubali nivipendezeshe nje ila hili linanikwaza sana maana sipendi kumsaliti. Hata kumtoa kwenda kununua nguo nzuri hataki mara nyingi.
Nahitaji ushauri namfanyaje huyu mke wangu ili moyo wangu uweze kutulia.
Asanteni.
Mademu wa chuga makauzuNi watu wa Arusha tena mjini kabisa. Kipindi cha uchumba alikua akipendeza haswa sasa sijui ninini kimempata. inanitia simanzi
hebu nitumie namba ya mkeoWakuu habari.
Nimeoa na nina mwaka na nusu wa ndoa sasa. Nina tatizo ambalo ninahitaji ushauri kwa wazoefu. Binafsi napenda mwanamke anayependeza na kujijali, na napenda awe mke wangu ili nisilazimike kutoka huko nje kuchepuka.
Sasa nina mke wangu hapendi kusuka, yaani kichwani yupo rough, mara chache (mara moja kwa miezi minne hivi) ndio huwa anakubali kwenda saluni kusuka tena kwa ugomvi.
Hela za saluni kila mwezi natenga elfu hamsini hadi sabini hivi (kwa uwezo wangu wa kipato) ila mtihani ni kumshawishi akubali. Mara kadhaa nimejikuta natembea na vibinti vinavyopendeza au vinavyokubali nivipendezeshe nje ila hili linanikwaza sana maana sipendi kumsaliti. Hata kumtoa kwenda kununua nguo nzuri hataki mara nyingi.
Nahitaji ushauri namfanyaje huyu mke wangu ili moyo wangu uweze kutulia.
Asanteni.
Haujamsikia mleta mada kasema anachepuka kwasab b mke wake hasuki wala kujiweka smart sasa anampenda vipi?No way the guy loves her, kina nyie hilo swala wala haliwasumbui😂😂😂😂
One in a million
Duh una bahati ya kumpata wife material ambao ni ki kizazi ambacho kinapotea duniani lakini ana bahati mbaya kampata mwanaume ambaye amejaza makamasi kichwani. Watu wanahangaika wapate wapi wa namna hiyo ambao wapo bize na watoto, miradi na tayari walishakana usichana wapo kifamilia zaidi na hata maisha yakidunda mjini mnaweza kwenda kijijini kuanza moja na mkaishi wewe akili yako ipo kwa magumegume ya mjini ambayo yanapenda kujiremba ili kuendelea.......Wakuu habari.
Nimeoa na nina mwaka na nusu wa ndoa sasa. Nina tatizo ambalo ninahitaji ushauri kwa wazoefu. Binafsi napenda mwanamke anayependeza na kujijali, na napenda awe mke wangu ili nisilazimike kutoka huko nje kuchepuka.
Sasa nina mke wangu hapendi kusuka, yaani kichwani yupo rough, mara chache (mara moja kwa miezi minne hivi) ndio huwa anakubali kwenda saluni kusuka tena kwa ugomvi.
Hela za saluni kila mwezi natenga elfu hamsini hadi sabini hivi (kwa uwezo wangu wa kipato) ila mtihani ni kumshawishi akubali. Mara kadhaa nimejikuta natembea na vibinti vinavyopendeza au vinavyokubali nivipendezeshe nje ila hili linanikwaza sana maana sipendi kumsaliti. Hata kumtoa kwenda kununua nguo nzuri hataki mara nyingi.
Nahitaji ushauri namfanyaje huyu mke wangu ili moyo wangu uweze kutulia.
Asanteni.
Ni watu wa Arusha tena mjini kabisa. Kipindi cha uchumba alikua akipendeza haswa sasa sijui ninini kimempata. inanitia simanzi
Ni mmasai?ndio walivyo...Ni watu wa Arusha tena mjini kabisa. Kipindi cha uchumba alikua akipendeza haswa sasa sijui ninini kimempata. inanitia simanzi
Na vipi ukitaka kumpa busu , anafanya hivi?View attachment 1842266
Nakazia.Mpe outing za mara kwa mara
.......Na siku akianza kupendeza basi ujue kapata mchepuko!
Bora hata mumuambie ukweli.Huyo ataka ufanye maendeleo kwanza, mwanamke anaekupenda hujinyima kwa baadh ya mambo na kumpa fursa ya kufanya maendeleo mtu wake, hata kama hajakueleza hili jiongeze, mwanamke mwenye akili akiwa ndoani hujivunia maendeleo na si kupendeza.
Hahahah ushauziwa mbuzi kwenye gunia mzee ! Hapa na goma langu la kichuga naliseti ila inaonekana alikuwaga gangsta sana miaka ya nyuma ndio anaanza kupata tabia za kisichana! Ye poda kwake mwiko