Nsalaga Uyole
Member
- Mar 1, 2020
- 56
- 47
Ni mpango wa Mungu ila mishetani inatupora,zetu dua tu sisi hatuna bunduki mpaka kufikia 2025 mtavurugana sana.huo ni mpango wa shetani ndiyo maana mambo yenu hayafanikiwi hata siku moja
Ni mpango wa Mungu ila mishetani inatupora,zetu dua tu sisi hatuna bunduki mpaka kufikia 2025 mtavurugana sana.huo ni mpango wa shetani ndiyo maana mambo yenu hayafanikiwi hata siku moja
Mnajaribu kufunika kombe wanaharamu wapite!!!Niko mahakamani , lakini hakuna Tatizo kubwa Mbeya Mjini
nyie mnasubiri tuvurugane kufikia 2025 wakati nyinyi mmeashaanza sasa hivi kuvurugana mpaka 2025 tutakuwa na ACT WAZALENDO tu nyie mtakuwa mmeshamalizana wenyewe kwa wenyeweNi mpango wa Mungu ila mishetani inatupora,zetu dua tu sisi hatuna bunduki mpaka kufikia 2025 mtavurugana sana.
Maskini tuliambiwa mwenye mapenzi haoni ingawa macho anayo.Acha uongo
Hata mwenyewe nimeshangaa ushabiki wa kisiasa unawafanya akili zao waziweke makalioniYaani nimeishia kucheka tu. Hivi watu wengine vyama vya siasa vinawaloga au vinawafanyaje?
Mtu unamuonesha kitu cheupe na unamumbia hiki kitu ni cheupe, lakini yeye bado atasema sio cheupe. Nadhani huo ni uwendawazimu sasa!
Duh! Huu ushabiki wa kisiasa sio kwa kiwango hicho ulichonacho aisee unapinga kitu ambacho mtoa mada kakuwekea hadi ushahidi wa videoPuuzeni uzushi huu, hauna kweli ndani yake, chama hakina mpasuko
CCM kwao ni fursaPuuzeni uzushi huu, hauna kweli ndani yake, chama hakina mpasuko
Ila hiyo ingetokea CCM sidhani ungetoa comment ya namna hii hivi vyama vimewalisha Nini kiasi inafikia mnashindwa kuwa na uhuru wa kimawazoKutofautiana mawazo ndio dalili ya wanadamu wanaojitambua, hawawezi kufanana kila siku kwa kila kitu, hiyo issue kam imetokea haiwezi kuwa tatizo la kudumu, ni suala la muda tu litapatiwa ufumbuzi, chama chenye miaka zaidi ya thelathini hakikosi challenges za aina hiyo.
Tume inaenda kuwanyooshaNilisema huko nyuma CDM Mbeya hakuna kitu.
Gari kubwa la CCM liko barabarani.
Kama CCM ilivyojikaanga yenyewe 2007, sasa zamu ya CDM.
Vijana wahamie kwa Tulia.
Genge la Wahuni wanagombea ulaji 😁😁Mpasuko mkubwa umeukumba uongozi wa Chadema Mbeya mjini na hii ni dalili kuwa hawako kwenye good terms. Sijui lini watafika mbali
View attachment 2102008
Upuuzi ule ule. Kwa nini kila kitu kwenye press conference? Ugomvi wa nini? Ubabe ubabe tu. Hii haisaidii mtu yeyote.Mpasuko mkubwa umeukumba uongozi wa Chadema Mbeya mjini na hii ni dalili kuwa hawako kwenye good terms. Sijui lini watafika mbali
View attachment 2102008
Si umesikia Sumbawanga walivyo mpa vidonge Msigwa?Tume inaenda kuwanyoosha
Hili taga Ndugunde nililiblock baada ya kuona linapost RubishesPuuzeni uzushi huu, hauna kweli ndani yake, chama hakina mpasuko
Dogo ni dhahiri Mbeya inaletwa kwa TuliaHuyo mwambigija kabebwa Sana lakini habebeki mwaka 2015 alituuza Rungwe bado akabebwa pamoja na kuuza chama
Aliondoka Slaa na Zitto na bado haikufaSi umesikia Sumbawanga walivyo mpa vidonge Msigwa?
CDM bye bye!
Pamoja na ukorofi na uchungu ulio nao Mbeya mjini wameamua kuongozwa na Tulia hadi atakapochokaKifo cha dikteta na muuaji huwa kinashangiliwa popote duniani. Alikufa Hitler watu walishangilia. Nguema, Bokassa, Amin nk ndio hivyohivyo iweje ushangae kwa huyu jiwe wako?
Atamkumbuka yeyeKifo cha dikteta na muuaji huwa kinashangiliwa popote duniani. Alikufa Hitler watu walishangilia. Nguema, Bokassa, Amin nk ndio hivyohivyo iweje ushangae kwa huyu jiwe wako?
Wanachama, kama hao wa Mbeya, wakiondika HAKIKA chama chenu kitakufaAliondoka Slaa na Zitto na bado haikufa
Siwaondoke CHADEMA ife ufurahi? mbona hutaki waje CCM sasa?Wanachama, kama hao wa Mbeya, wakiondika HAKIKA chama chenu kitakufa
Sio kila kasa analiwaPuuzeni uzushi huu, hauna kweli ndani yake, chama hakina mpasuko