Hiki chama bila Mbowe ni TADEA iliyochangamkaPuuzeni uzushi huu, hauna kweli ndani yake, chama hakina mpasuko
Hiki chama bila Mbowe ni TADEA iliyochangamkaPuuzeni uzushi huu, hauna kweli ndani yake, chama hakina mpasuko
Loooh!!!Nilisema huko nyuma CDM Mbeya hakuna kitu.
Gari kubwa la CCM liko barabarani.
Kama CCM ilivyojikaanga yenyewe 2007, sasa zamu ya CDM.
Vijana wahamie kwa Tulia.
Kama Ccm imewafukuza kina Bashiru, Polepole nk tena uongozi wa kitaifa. Na maisha yanaenda, itakuwa hawa wa Cdm, tena wa ngazi ya mkoa ?!Mpasuko mkubwa umeukumba uongozi wa Chadema Mbeya mjini na hii ni dalili kuwa hawako kwenye good terms. Sijui lini watafika mbali
View attachment 2102008
CDM Mbeya bado tuko ngangari ,CDM ipo ndani ya mioyo yetu , wengine tulishakula viapo hata iweje hatuwezi kuhamia CCM Endeleeni kuweweseka.Buji imekula kwenu, CDM bye bye Mbeya!
Ulikula kiapo kuendeleza umasikini wako?CDM Mbeya bado tuko ngangari ,CDM ipo ndani ya mioyo yetu , wengine tulishakula viapo hata iweje hatuwezi kuhamia CCM Endeleeni kuweweseka.
hahaaaa ipendacho roho hula nyma mbichi yaani mpasuko uko wazi hivyo mpaka anafukuzana wewe unasema hakuna mpasuko? kweliiii CHADEMA kila siku mkiambiwa hamna sera za kushika dola mnakataa una mmeanza kufukuzana hovyoPuuzeni uzushi huu, hauna kweli ndani yake, chama hakina mpasuko
Kwahiyo unataka kuniambia akili za maendeleo ziko CCM?Ulikula kiapo kuendeleza umasikini wako?
Muwage na akili ya maendeleo.
mmeisha yaani mnaanza kufukuzana hivyo chadema kwishaaaaaaaaCDM Mbeya bado tuko ngangari ,CDM ipo ndani ya mioyo yetu , wengine tulishakula viapo hata iweje hatuwezi kuhamia CCM Endeleeni kuweweseka.
Mlipokuwa mnawanunua madiwani na Wabunge ,mlisema Chadema kwishaaaaa ,huo ni wimbo wenu imbeni tummeisha yaani mnaanza kufukuzana hivyo chadema kwishaaaaaaaa
mpaka mnabaki wawili mtakuwa mnasema hivyohivyo tuMlipokuwa mnawanunua madiwani na Wabunge ,mlisema Chadema kwishaaaaa ,huo ni wimbo wenu imbeni tu
CDM ni mpango wa Mungu,Endeleeni kusifu na kuabudu huko mliko.mpaka mnabaki wawili mtakuwa mnasema hivyohivyo tu
Hujui kitu wewe kapuku , Tulia .Mpasuko mkubwa umeukumba uongozi wa Chadema Mbeya mjini na hii ni dalili kuwa hawako kwenye good terms. Sijui lini watafika mbali
View attachment 2102008
Niko mahakamani , lakini hakuna Tatizo kubwa Mbeya MjiniClip hautaki kuitazama? Erythrocyte tia neno kwenye uzi huu.
Acha uongoErythrocyte kubali kataa, hii ni effect ya baba mwenye nyumba kuwa mahabusu kwa muda Mrefu. Nyumba inakosa uongozi na kila mtoto anakuwa ni decision taker. Hapa kuna tatizo maana baba msaidizi naye anag’ang’ania ubeleji! Asingekuwa mbinafsi asharudi nchini kujaza vacuum iliyoachwa na baba. Nyie mnafurahia kwenda Mahakamani na kula mandazi! Ona sasa
wanyakyusa bwana ni shida na tatizo ni ukabila.Mpasuko mkubwa umeukumba uongozi wa Chadema Mbeya mjini na hii ni dalili kuwa hawako kwenye good terms. Sijui lini watafika mbali
View attachment 2102008
hahaaaaa yaani bado unaamini hakuna mgogoro huko? yaani chadema wote tabia zenu ziko sawa mbowe anawachangisha hela anakula mnashabikia msigwa anawachangisha anakula wamemshitukia anakuwa mkali anafukuza wat hovyo halafu mnataka kuchukuwa nchi mnaweza kuiongoza kama mnashindwa kujiongoza ndani ya chama?Hujui kitu wewe kapuku , Tulia .
msigwa kala hela huko kama vile anavyokulaga mbowe lakini msigwa wamemshtukia wamekuja juu anaanza kuwafukuza uanachama hukoooooooNiko mahakamani , lakini hakuna Tatizo kubwa Mbeya Mjini
huo ni mpango wa shetani ndiyo maana mambo yenu hayafanikiwi hata siku mojaCDM ni mpango wa Mungu,Endeleeni kusifu na kuabudu huko mliko.