Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,922
Kuingia kutoka wapi? Si wanatoka kwenye mikoa maskini inayowazunguka?Kama Mwanza ni maskini kwanini watu wanazidi kuingia Mwanza na kuufata huo uchuro na umaskini?, ukiona sehemu kuna watu wengi na wanazidi kuongeza ujue wanafata vitu ambavyo sehemu nyingine hakuna, pia wanafata tulizo la mioyo yao, ndio maana population density ndio figure kubwa kwenye uchumi.
Nani atoke Kusini au Dar aende Mwanza ?