Moshi yakataliwa kuwa jiji

Moshi yakataliwa kuwa jiji

Mimi nikuulizehuko kahama,geita, katoro wachaga hata hawajulikani wanafanya nini huko ni wasukuma na waha tu! Hata hapo mwanza wa wachaga sio wengi kama zamani hardware nyingi ni wasukuma na wakurya hata lumumba ni wasukuma watupu yaani nyinyi mna matatizo sana! Acheni sifa!
Wachaga umaarufu wao huku ni viduka vya pipi na sukari robo.
 
Nchi hii ni ya ajabu sana. Madiwani ambao ni wawakilishi wa wananchi tulitegea wapambane wananchi wapate huduma bora za afya- bima ya afya kwa kila mtu, elimu bora, miundo mbinu mizuri ya barabara, wanainchi wafundishwe kilimo bora na kuongeza thamani ya mazao yao n.k. Badala ya madiwani kupambania hayo wapo wanataka miji yetu iwe majiji- Tanga ni jiji, Mbeya ni jiji, Dodoma ni Jiji, Arushani jiji, Mwanza ni jiji na of course Dar. Sasa ni nini kimebadilika kwa mji kama Tanga kuitwa jiji. Au, Dodoma au Mbeya. Maisha yanazidi kuwa duni tu, hadhi ya jiji haibadili maisha ya mtu. Ni afadhali tufikirie mbinu za kuwatoa wananchi wetu kwenye umaskini kuliko kupambania miji yetu iitwe majiji
Tena serikali ingevunja baadhi ya majiji na kubaki na majiji mawili tu.
 
Kilimanjaro msitegemee kubebwa kama Mwanza, Dodoma, Geita. Kama umeisikiliza hotuba ya Samia utajua kuwa mnaangaliwa kama watu mliopo mbele sana kimaendeleo na hasa pale aliposhangaa Kilimanjaro kulilia miundombinu ya maji ya umwagiliaji wakati mikoa mingine hawana maji ya kunywa.
Bila kusahau Kahama šŸ˜ƒšŸ˜€ na Chato.
 
Mwenye Aliyeandaa hotuba ya chief Hangaya iliyosomwa huko Kilimanjaro Moshi Tanzania Ana matatizo au kuna shida mahali. Kama haina shida Chief Hangaya hakutambua Dr Kimei ni mbunge wa wapi na hiloJimbo liko upande gani. Pamoja na hilo Wakazi wengi wa Kilimanjaro waliosikiliza hotuba hiyo hawakuilewa mfano, Prof Adolf Mkenda, Prof Ndakidemi, Dr Charles Kimei, Dr Mathayo na wengine wengi. CCM jitafakirini kuhusu 2025 naona kama tunapotea
Kulitokea nini?
 
Hapana aisee nakataa...

Arusha bado Sana kwa mwanza Tena Sana.


Mwanza inapanuka mno na inakuwa kwa Kasi ya hali ya juu .

Hiyo Arusha ni sawa na manispaa ya ilemela tu kwa mwanza.


Mwanza kwa mzunguko wake ,ukuaji, movement,mapato na watu inafaa kabisa kuwa jiji tofauti na Arusha ambayo ni ndogo Mno.

Mwanza Rufiji and Nyerere roadView attachment 1975578View attachment 1975579
Compare and contrast,watu wa Mwanza mnatumia nguvu Sana kutete Jiji uchwara lenu ..

Arusha šŸ‘‡

2933852_IMG_2340.jpg


2933853_IMG_2338.jpg
 
Umbali kutoka Moshi hadi vunjo ni zaidi ya Kms 50 Sio 25
Sasa hilo tuu? Hapo itakuwa ni kosa la muandishi kama alikuwa anasoma,ilitakiwa wahusishe Moshi Vijijini sio vunjo,nani kampotosha Rais?

Rais hawezi kariri kila kijiji na km za nchi hii hiyo sio Kazi yake ila wahusika walitakiwa kumueleza Rais kwamba umbali ni hizo km 50..

Si unakumbuka Magu alikoseaga sijui Rais wa Libya nk
 
Wewe jua tuu hamna kitu huko ni uchuro wa umaskini ndio umejaa hapo mwanza
Kama Mwanza ni maskini kwanini watu wanazidi kuingia Mwanza na kuufata huo uchuro na umaskini?, ukiona sehemu kuna watu wengi na wanazidi kuongeza ujue wanafata vitu ambavyo sehemu nyingine hakuna, pia wanafata tulizo la mioyo yao, ndio maana population density ndio figure kubwa kwenye uchumi.
 
Back
Top Bottom