off-sir
Member
- Dec 21, 2019
- 66
- 57
Sijakuelewa Mkuu[emoji1787][emoji1787]Kiukweli moshi n kubwa lakn lakn moshi ni ndogo inatakiw ipanuke zaidi
Sijakuelewa Mkuu[emoji1787][emoji1787]Kiukweli moshi n kubwa lakn lakn moshi ni ndogo inatakiw ipanuke zaidi
Moshi ni kijiji cha ujamaa wewe..mnadhani jiji ni mchezo? Ukienda pale Mwanza miji hii ni kama mikoa midogo, ukiwa Igoma,Buhongwa,Buswelu..maeneo hayo matatu ni sawa na mikoa midogo kwa kati kati ya mji kama pale Shinyanga au TaboraMkuu moshi inastahili sema mama katuchoma tuwe sawa na chato
Moshi ni kijiji cha ujamaa wewe..mnadhani jiji ni mchezo? Ukienda pale Mwanza miji hii ni kama mikoa midogo, ukiwa Igoma,Buhongwa,Buswelu..maeneo hayo matatu ni sawa na mikoa midogo kwa kati kati ya mji kama pale Shinyanga au Tabora
Nimeipendekeza iendelezwe hadi ifikie hadhi ya jiji ili kupunguza wimbi la wenyeji wa huko kukimbilia Dar , Mwanza na Zanzibar lakini wanapofanikiwa hawarejeshi uwekezaji huko kwa maendeleo yao na wananchi wengine.Kwenye majiji uneiweka Kigoma? Au nimesoma vibaya??[emoji28]