Moshi yakataliwa kuwa jiji

Moshi yakataliwa kuwa jiji

Mh hangaya alipokuwa moshi leo ameikataa moshi kupandishwa kuwa mji akisema haina sifa

My take kaamua kubalance na chato

Minne inatosha
Ila kijiji cha chattle kinatakiwa kiwe mkoa na mwendazake angekuwepo sasahv ilitakiwa iwe JIJI
 
Sasa hilo tuu? Hapo itakuwa ni kosa la muandishi kama alikuwa anasoma,ilitakiwa wahusishe Moshi Vijijini sio vunjo,nani kampotosha Rais?

Rais hawezi kariri kila kijiji na km za nchi hii hiyo sio Kazi yake ila wahusika walitakiwa kumueleza Rais kwamba umbali ni hizo km 50..

Si unakumbuka Magu alikoseaga sijui Rais wa Libya nk
Tatizo huwa unajifanya mjuaji lakini hakuna unachokijua[emoji2][emoji2], eti wahusishe moshi vijijini sio vunjo[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787], sasa hapo kati ya wewe na walioandika hotuba au Rais mwenyewe nani anapotosha?! Usichokijua Vunjo iko Moshi vijijini, acha kukurupuka[emoji2][emoji2]
 
KUmbe ni wengi huwa hatuikibali Mwanza maana Mji ule ni pale mjini tuu
Naona umepata mwenzako mmoja hadi umeshangaa kwamba mko wengi[emoji2][emoji2], siku zote ulikuwa peke yako leo umepata mwenzako,
Lakini wasioikubali mbeya ni wengi sana na wapo kila siku humu wala na haikushangazi ndo uhalisia wenyewe, wanafuata wasioikubali Arusha wapo sana na wala haijakushangaza[emoji2][emoji2], asiyeikubali Mwanza ulikuwa pekeyako leo umeshangaa kumbe uko na mwenzio[emoji2][emoji2], naona pia umelike mdau aliposema majiji Tanzania ni 1.Dar, 2.Mwanza, 3.Mbeya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 3.Mbeya [emoji1787][emoji1787]
 
Naona umepata mwenzako mmoja hadi umeshangaa kwamba mko wengi[emoji2][emoji2], siku zote ulikuwa peke yako leo umepata mwenzako,
Lakini wasioikubali mbeya ni wengi sana na wapo kila siku humu wala na haikushangazi ndo uhalisia wenyewe, wanafuata wasioikubali Arusha wapo sana na wala haijakushangaza[emoji2][emoji2], asiyeikubali Mwanza ulikuwa pekeyako leo umeshangaa kumbe uko na mwenzio[emoji2][emoji2], naona pia umelike mdau aliposema majiji Tanzania ni 1.Dar, 2.Mwanza, 3.Mbeya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 3.Mbeya [emoji1787][emoji1787]
Hivi nani aliwaambia kuwa Mbeya ni mji wa kuhangika nao? Nawaambia ambao hamjawahi kufika kwanza Barbara ni moja kutokea tunduma mpaka unaukatiza mji wote! Yaani kusema kweli mbeya haina hadhi hata robo ya kulinganisha na Arusha au mwanza! Kwanza huku Mbalizi ni nyumba za tope kila kona mji hauna mandhari kabisa! Hizi stori za humu jamii forum msihangaike nazo! Miji kwa Tanzania yenye uchangamfu ukitoa Dar ni Arusha mwanza na dodoma ila Mbeya BIG NO!
 
Tatizo huwa unajifanya mjuaji lakini hakuna unachokijua[emoji2][emoji2], eti wahusishe moshi vijijini sio vunjo[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787], sasa hapo kati ya wewe na walioandika hotuba au Rais mwenyewe nani anapotosha?! Usichokijua Vunjo iko Moshi vijijini, acha kukurupuka[emoji2][emoji2]
Usiwe kima we tumbili, Sehemu ya Moshi Vijijini ndio imegwe kuwa sehemu ya Jiji,Mipaka rasmi inatambuliwa kwa kufuata Mipaka ya Halmashauri na Vijiji na sio majimbo..

Hotuba ya Rais anaweza andika mjinga mmja tuu kama wewe ,hao ndio walimwambia Rais umbali Kati ya Moshi mjini na Vunjo ni km 20 tuu wakati sio kweli..

Mimi sijifanyi kujua bali najua kweli sio kilaza kama wewe
 
Usiwe kima we tumbili, Sehemu ya Moshi Vijijini ndio imegwe kuwa sehemu ya Jiji,Mipaka rasmi inatambuliwa kwa kufuata Mipaka ya Halmashauri na Vijiji na sio majimbo..

Hotuba ya Rais anaweza andika mjinga mmja tuu kama wewe ,hao ndio walimwambia Rais umbali Kati ya Moshi mjini na Vunjo ni km 20 tuu wakati sio kweli..

Mimi sijifanyi kujua bali najua kweli sio kilaza kama wewe
Bado tu unaleta ujuaji wako we nguruwe[emoji23][emoji23][emoji23], nishakuambia hujui kitu we pig [emoji241][emoji23][emoji23], badala ya kuona ulichoandika ni utopolo unaanza kujinasua bila kujua ndo unazidi kuandika utopolo zaidi[emoji1787][emoji1787], baada ya kugutuliwa kwamba vunjo nayo ni moshi vijijini umekuja na swaga ya sehemu ya moshi vijijini[emoji2][emoji2], afu Ulivyo pimbi unabisha moshi mjini hadi vunjo sio km 20.
Eti "ilitakiwa wahusishe moshi vijijini sio vunjo"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bado tu unaleta ujuaji wako we nguruwe[emoji23][emoji23][emoji23], nishakuambia hujui kitu we pig [emoji241][emoji23][emoji23], badala ya kuona ulichoandika ni utopolo unaanza kujinasua bila kujua ndo unazidi kuandika utopolo zaidi[emoji1787][emoji1787], baada ya kugutuliwa kwamba vunjo nayo ni moshi vijijini umekuja na swaga ya sehemu ya moshi vijijini[emoji2][emoji2], afu Ulivyo pimbi unabisha moshi mjini hadi vunjo sio km 20.
Eti "ilitakiwa wahusishe moshi vijijini sio vunjo"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We mzoga una pollute jukwaa
 
Moshi bado kamji kadogo sana, hata Tanga sijui kwanini ilipewa hiyo hadhi ya kuwa jiji, Mbeya...... naona kuna haja ya kuyatazama upya majiji yetu kama kweli yana vigezo.
Tanzania kuna majiji ya kisiasa kama Tanga , Dodoma Arusha na Mbeya. Hata Mwanza na Dsm zina force tu kuwa majiji
 
Moshi bado kamji kadogo sana, hata Tanga sijui kwanini ilipewa hiyo hadhi ya kuwa jiji, Mbeya...... naona kuna haja ya kuyatazama upya majiji yetu kama kweli yana vigezo.
Nadhani wanatumia kigezo cha pupulasheni kuliko kuangalia miundombinu
 
We mzoga una pollute jukwaa
Mzoga ni wewe nguruwe, ni haramu ila tunakutafuna hivyo hivyo[emoji12][emoji12][emoji12][emoji867][emoji867]

Eti wangehusisha moshi vijijini sio vunjo [emoji23][emoji23][emoji23] hujui kitu we mbwa [emoji2][emoji2]
 
Mzoga ni wewe nguruwe, ni haramu ila tunakutafuna hivyo hivyo[emoji12][emoji12][emoji12][emoji867][emoji867]

Eti wangehusisha moshi vijijini sio vunjo [emoji23][emoji23][emoji23] hujui kitu we mbwa [emoji2][emoji2]
Kimba la nguruwe unapolute jukwaa
 
Miji inayofaa kuwa au kubaki majiji kwa mkakati maalumu ni
1. Dar Es Salaam
2. Mwanza
3. Mbeya
4. Arusha
5. Mtwara
6.Kigoma
7.Dodoma
8.Tanga (iongeze bidii kurejesha miundo mbinu iliyokuwa imejengwa na hayati Mwl Nyerere kama bandari, viwanda na kilimo cha mikonge)

Miji ya Kitalii iwe ni
1. Kilimanjaro
2. Arusha
3. Iringa
4. Kagera
5. Morogoro
6. Pwani
7. Lindi
8. Ruvuma
9. Mara
10.Manyara

Mikoa ya kilimo cha mazao ya chakula
1. Songwe
2. Rukwa
3. Katavi
4. Ruvuma
5. Morogoro
6. Iringa
7. Mbeya
8. Njombe

Mkioa ya kilimo cha mzao biashara
1. Mwanza
2. Simiyu
3.Shinyanga
4. Singida
5. Tanga
6. Mtwara
7. Morogoro

Miji ya viwanda
1. Dar Es Salaam
2. Pwani
3. Morogoro
4. Mtwara
5. Tanga
6. Moshi
7. Arusha
8. Mwanza
9. Kigoma
10. Mbeya
11. Dodoma
12. Iringa
Kwenye majiji uneiweka Kigoma? Au nimesoma vibaya??[emoji28]
 
Wewe ni uhalooo, Tena uhalo wa watu wa njombe wenye utapiamlo[emoji12][emoji12][emoji12]
Uhalo ndio wewe unavutwa kojoleo

2932661_1631952174379.jpeg
 
Hapana aisee nakataa...

Arusha bado Sana kwa mwanza Tena Sana.


Mwanza inapanuka mno na inakuwa kwa Kasi ya hali ya juu .

Hiyo Arusha ni sawa na manispaa ya ilemela tu kwa mwanza.


Mwanza kwa mzunguko wake ,ukuaji, movement,mapato na watu inafaa kabisa kuwa jiji tofauti na Arusha ambayo ni ndogo Mno.

Mwanza Rufiji and Nyerere roadView attachment 1975578View attachment 1975579
Haya si ni Maghorofa au.....[emoji1787][emoji1787] kuna cha ziada hapa au ndo unaleta Usukuma Gang hadi kwenye Swala la Maendeleo
 
Back
Top Bottom