Hebu nitajie kahama imebebwa maeneo yapi? Kama nikupandishwa hadhi kuwa manispaa mchakato ulifanyika wakaguzi walikuja na waziri jafo aliulizwa bungeni na aliekuwa mbunnge wa msalala Ezekiel maige kwamba nilini ataupandisha hadhi mji wa kahama kuwa manispaa maana tayari umekudhi vigezo jafo alijibu swali kwa kusema kwamba kuna miji 3 imekidhi vigezo vya kuwa manispaa akataja geita kibaha na kahama wakati wowote wataipandisha bajeti itakaporuhusuBila kusahau Kahama 😃😀 na Chato.
Hivyo kahama mchakato wake ulikamilika wakakizi vigezo magufuli akawapandisha hadhiBila kusahau Kahama 😃😀 na Chato.