Mkuu umeandika kwa chuki sana, na sio uhalisia wa kile ulichotakiwa kuandika.
Hahahaha...Mkuu naona una lako jambo sio bure.Hapana chifu. Ukweri ni kwamba kamoshi ctegemei kawe jiji. Labda after 100 years ahead apo sawa.
Tatizo la Moshi kutoendelea ni ukabila umetawala pale, wale jamaa huwa hawaachii ardhi kwa wawekezaji wageni (kabila tofauti na Chagga) pale Moshi town biashara nyingi ni za wenyeji. Wachaga badilikeni, kalibisheni wageni wachangamshe mji huo.Mh hangaya alipokuwa moshi leo ameikataa moshi kupandishwa kuwa mji akisema haina sifa
My take kaamua kubalance na chato
Minne inatosha
Hagai bado ni Magufuli, hapendi WachaggaMh hangaya alipokuwa moshi leo ameikataa moshi kupandishwa kuwa mji akisema haina sifa
My take kaamua kubalance na chato
Minne inatosha
Neno mwingiliano na wageni huchangamsha, mfano mzuri Jiji la Dar na Mwanza.Tatizo la Moshi kutoendelea ni ukabila umetawala pale, wale jamaa huwa hawaachii ardhi kwa wawekezaji wageni (kabila tofauti na Chagga) pale Moshi town biashara nyingi ni za wenyeji. Wachaga badilikeni, kalibisheni wageni wachangamshe mji huo.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Hawa watu hizi mentality za "hapa ni kwetu" sijui wanatoa wapi haya mawazo ya ubinafsi na uchoyo.Neno mwingiliano na wageni huchangamsha, mfano mzuri Jiji la Dar na Mwanza.
Majiji Tanzania ni Dar es Salaam, Arusha na Mwanza tuu hy mingine ni utani tuu
Jiji gani hilo pumbavu, Morogoro tuu kwa sasa ndio imekidhi hivyo vigezo.Mh hangaya alipokuwa moshi leo ameikataa moshi kupandishwa kuwa mji akisema haina sifa
My take kaamua kubalance na chato
Minne inatosha
Acha Domokaya we simbilisi jike..Mbeya Jiji Lina wakaazi takribani 600,000 na Lina mapato wastani wa bil.15 kwa mwaka mbele ya Mwanza Jiji.Moshi bado kamji kadogo sana, hata Tanga sijui kwanini ilipewa hiyo hadhi ya kuwa jiji, Mbeya...... naona kuna haja ya kuyatazama upya majiji yetu kama kweli yana vigezo.
Kwa wenzetu jiji huwa na autonomy kubwa sana ya kujiendesha. Hasa kwa sababu inakuwa na kipato cha kutosha. Hii huwa na faida sana kwa watu kuamua mambo yao kuhusu Afya, elimu, usafiri na mambo mengine ya maendeleo.Kuna faida gani mahali kuitwa jiji?
Kabla Dodoma haijaitwa jiji na sasa hivi ikiitwa jiji tofauti ni ipi?
Zipo faida za kutosha wewe ukiwa nje ya serikali hujui ila mojawapo ni kupewa kipaombele kwenye huduma na kupewa bajeti kubwa kuliko wengine,hivyo hivyo hadi Halmashauri,Mji,Manispaa na Jiji.Kuna faida gani mahali kuitwa jiji?
Kabla Dodoma haijaitwa jiji na sasa hivi ikiitwa jiji tofauti ni ipi?
Moshi wapunguze mbege watafikiriwa kuwa jiji!
Hiyo mbeya ndo kabisa ushubwadu mtupu.
Mji mzima ni slums tupu Kama mbagala
Hapana chifu. Ukweri ni kwamba kamoshi ctegemei kawe jiji. Labda after 100 years ahead apo sawa.
Huna adabu kwa viongozi wako, who is Hangaya!?Mh hangaya alipokuwa moshi leo ameikataa moshi kupandishwa kuwa mji akisema haina sifa
My take kaamua kubalance na chato
Minne inatosha
Huna adabu kwa viongozi wako, who is Hangaya!?
kweli hujafika mbeya,ile bado sanaKweli kabisa. Arusha na tanga ni kama wamerazimisha iitwe jiji. Atleast mbeya nackia kuzuli sana mkuu