Moshi yakataliwa kuwa jiji

Moshi yakataliwa kuwa jiji

Kahama hapana. Kahama haina mpangilioni, hakuna barabara, kila mahali ni viuchochiloro. Kahama ni kati ya miji yenye mpangilio wa ovyo kabisa. Mzunguko wa pesa upo ila ni kama vimiji vinavyozaliwa kutokana na machimbo ya wachimbaji wadogo.
Nani wa kulaumiwa Sasa.... Jibu ni serikali .


Nchi za wenzetu serikali inatanguliza miundombinu baada ya kuona fursa na watu wanafata lakin tz serikali Haina time na watu wake. Ndo maana miji inakuwa hovyo hovyo
Hata dar yenyew Kuna sehemu Kuna ujenzi wa hovyo kwa sababu ya uozo wizara ya Ardhi
 
Arusha ipo vizuri zaidi kuliko Mwanza.
Hapana aisee nakataa...

Arusha bado Sana kwa mwanza Tena Sana.


Mwanza inapanuka mno na inakuwa kwa Kasi ya hali ya juu .

Hiyo Arusha ni sawa na manispaa ya ilemela tu kwa mwanza.


Mwanza kwa mzunguko wake ,ukuaji, movement,mapato na watu inafaa kabisa kuwa jiji tofauti na Arusha ambayo ni ndogo Mno.

Mwanza Rufiji and Nyerere road
JamiiForums400908168.jpg
JamiiForums1600508482.jpg
 
SIFA ZA SEHEMU (MAKAZI)KUWA JIJI NI ZIPI?...naomba mjibu hili swali Kwanza,Kama watu hawafahamu sifa hizo basi hawana haki kuseme hii sehemu inafaa iwe jiji au siyo...na Kama hakuna sifa hizo basi Kama ni sababu za kisiasa basi pia zitajwe zijulikane hapa hapa jamvini...
 
Sasa wachaga wenyewe hata kukaa mjini hawataki saa kumi na mbili maduka yote mjini yanafungwa.Wanaishia kukaa milimani kwa kupenda viwanja vya bure na mbege.
 
Sasa wachaga wenyewe hata kukaa mjini hawataki saa kumi na mbili maduka yote mjini yanafungwa.Wanaishia kukaa milimani kwa kupenda viwanja vya bure na mbege.
Pesa hazijai, mtu atafanya kazi saa 24.? Acha watu wanywe mbege wewe
 
Kumbeee!!! Ndiyomaana hamuenderei afu mnataka kijiji kipewe jiji inawezekana wapi ndugu, akili ya wapi iyo!!! Acheni kulalsmika,, ebu Igeni mfano wa wasukuma.
Hawaendelei kivipi.? Leo hii unawafananisha wasukuma na wachaga 😂😂
Simple tuu ndo mana unaambiwa kama eneo ulipo hakuna wachaga hama hapo jangwani.
 
Back
Top Bottom