Morogoro: Watu 22 Wamefariki dunia kwenye ajali ya Basi la Ahmed linalofanya safari kati ya Tanga-Mbeya. Limegongana na Lori

Mkiwa safarini jitahidi Sana kufanya maombi au dua, maombi ni ulinzi tosha dhidi ya watoa kafara. Hapo hata abiria mmoja tu angefanya dua wasingepata ajali.Dua au maombi ya hata msafiri mmoja tu ulificha gari kwenye rada za Wale wapumbavu wa barabarani awalioni na litapita salama kwenye mitego yao ya barabarani.
 
Wakifutwa kazi ndiyo itasaidia nini. Vitendea kazi na mifumo iboreshwe. Huoni ajabu kwanini inashindikana kuweka tochi usiku barabarani
Tochi zinasaidia nini zaidi ya kuwapa rushwa matrafiki? Kinachotakiwa ni kuweka camera barabarani zenye uwezo wa kuchukua matukio yote ya uendeshaji mbovu wa madereva..
 
Mkuu T1 zetu na maisha yetu nadhani unafahamu hao ng'ombe watapita hata pikipiki with cc ndogo, issue ni kwamba hiyo ajali ni uzembe Kati ya bus na IT.
Mkuu ukitaka kufanikiwa ni lazima ujilinganishe na ufanye kama waliofanikiwa, kisheria highways zinatakiwa ziwekewe fence (kazi ya tanroads)na sheria za freeways lazima zifanye kazi, bodaboda zimekaa zaidi kisiasa kuliko kisheria
 
Hapa naona Boda boda ndiye chanzo cha ajali! Dereva wa Lori amekuwa muungwana kumkwepa huyo boda boda,vinginevyo angemgonga tu huyo boda boda kuliko kumkwepa na kusababisha ajali ambayo imepoteza maisha ya watu wote hao!
Anyway ajali haina kinga! BWANA alitoa na BWANA ametwaa.
Jina la BWANA libarikiwe.Amen
 
Zijengwae double roads
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…