MMU hot talk

MMU hot talk

Hata mm hua naonywa na kusikia,sikuhukumu ila nakwambia ukwel.Ulitaka nikusifie kutembea na mme wa mtu? Kama sehemu ya jamii naamin kuwa kukueleza ukwel ni jambo jema,mana wanaume ni wengi tu.Pia usi assume kila mtu anauovu wa type yako na ww ukapata tiket ya kudestroy familia ya mtu kisa et jamaa muislam.
Mmh... kwani huyo mwanaume hajui afanyalo??
 
Anajua alitendalo,ila kama sehemu ya jamii tunajukumu la kumueleza ukweli,lakin ni mwanamke ndo aliejinadi kua anatembea na mme wa wa mtu.Nilichokifanya ni kumuonya uyo dada,lakin kaonesha kua bila uyo mme wa mtu maisha hayaendi.Ata wewe unajua ulifanyalo.
 
Haahahaaaaaa! Ile ilipata REPORT ABUSE 500, Tukapigwa BAN kuanzia HOST, MGENI, FUNDI MITAMBO, HAT SISIMIZI ALIEKATIZA ULE UZI ALIPIGWA BAN! Hahahaaaaaaaa! Na uzi uadilitiwa PERMENENTLY kwenye saver za MMU! Hahahaaaaa!
Alaaaa....
Irudiwe
 
Sijui ni coincidental kuwa wanaume wote wenye michepuko wanafanana tabia...
Nimeshasikia kwa vimada wengi sana story kama za Ange...'huyu mwanaume alikuwa mcharuko mimi nimemtuliza'
'mimi ndio namsisitiza asisahau familia'...'namzuia asilale kwangu'...'huwa naifanyia shopping familia yake' and the like...

Next time muwaite na hawa mababa wenye mipango ya kando watupe nao the other side of the story ili tuweze ku balance...

Niko hapa. Wakiwa tayari uniambie..... si unajua kuta huwa haziongei?
 
KIGEZO CHA KUALIKWA HOT TALK UWE TAYARI KUWEKA ALL CARDS ON THE TABLE!!!!!!!!! Kamamnafiki huqualfy kualikwaaa! Wala hutoalikwaaa! lengo la shoo ni kuwapa watu chansi TO BE THEMSELVES DESPITE UNAFIKI NAFIKI WOTE WA JF!
Swali litakuwepo na litajibiwa HONESTLY nsababu mgeni rasmi lazima AWE HONEST PERSON!

Hahahaa haaaa
Lara1 ss utajuaje km mtu kasema kweli au uongo!
 
Mmmmmmmmmh..... lara 1 napata mashaka au ndo mume wa kwenye keyboard????? Nae aonekane yumooooo hahahahaaaaa wonders shall never end uwiiiiiiiiiiiiiii.

Hahahahahaha....mtaua mtu nyie...
 
Last edited by a moderator:
Naomba mm usiniweke kwenye mgeni mualikwa tafadhari maana sikuiz cjui hata kuongea ukorof umeisha kwa kifup ntashindwa cha kujibu.....mie wacha nieendelee na kazi yangu ya kukufuta jasho tu

Mmmmh mamy informed consent si inahusika hapa kwani unakurupushwa tu?
 
Ukisema we bikra we ni mwongo....ukisema huna boifrendi we ni mwongo. Hahaaa this is Jf bwana

Hahahaa haaaa
Hayo ya kawaida bt wapo mabikira ujue.....hope Hawawez kuuliza maswali km haya
Kuna mengine km haya ya kutoka na mme wa.mtu coz wapo ambao kweli they don't. ..ss akisema cjawahi wakat anafanya je?Hahahaa
 
Hahahaa haaaa
Hayo ya kawaida bt wapo mabikira ujue.....
Kuna mengine km kutoka na mme wa.mtu coz wapo ambao kweli they don't. ..ss akisema cjawahi wakat anafanya je?Hahahaa

Ndo unatakiwa useme sasa hata kama hufanyi....yan hata kama huna boifrend sema ninao watatu na mmojawapo ni mume wa mtu. Huo ndo ukweli ukisema vinginevyo we ni mnafiki na unatafuta soko lol
 
Ndo unatakiwa useme sasa hata kama hufanyi....yan hata kama huna boifrend sema ninao watatu na mmojawapo ni mume wa mtu. Huo ndo ukweli ukisema vinginevyo we ni mnafiki na unatafuta soko lol

Hahahaa haaaa
Nimecheka
Nway najua sio wote wanaweza kuwa wawazi...
Btw humu hakuna soko utaliwa ubaki unalia....Heheeee
 
Back
Top Bottom