Wakuu nimeona niweke nukuu za viongozi na wanazuoni wetu ili tujadiliane zaidi kuhusu huu muungano wetu
1. "Tarehe 13 April 1964, Karume alimwambia Katibu wa Baraza la Mapinduzi Salim Rashid kwamba Mwalimu Nyerere, Rais wa Tanganyika alimpigia simu akimtaka aende DSM. Keshoye Karume na Salim wakaenda. Walipofika Ikulu, Nyerere huku akimwangalia Salim akawaambia wasaidizi wake-"Mpeni gari Salim akanyoe ndevu". Salim akaondoka. Mbali ya Marais hao wawili hakuna mtu anaejua kwa uhakika ni nini kilijiri kati yao sebuleni Ikulu"
GAZETI LA RAIA MWEMA NO 225 (8.2.2012)
2. "I casually told Sheikh Karume that "I have told President Kenyata that any time when Kenya is ready, we in Tanganyika are ready to unite our two countries. I have communicated the same to Obote. Iam telling you the same. Once you are ready let us unite our countries. And Karume immediately replied "Mwalimu, what do you mean by being ready? I am ready now. Summon the press tell them now that we are uniting our two countries into one, one government and you are the leader. But I told Karume to wait a bit as it was too early for the press to be informed.."
JK NYERERE . This is a translated Nyerere's HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM NA RAIS WA TANZANIA'1 FEBRUARY 1984; TAARIFA YA KAZI ZA CHAMA (1982-1984) UK WA 52
3. "When TG and ZNZ agreed to form one sovereign state we could have adopted one of the usual structures of unity when two countries unite to form one country. But we felt unable to do so because of the small size of ZNZ relative to that of TG. ZNZ had at that time 300 000 people. A union with one Govt would give the impression that TG had swallowed up ZNZ. A Federation of 3 Govts would have been too costly. That is the origin of the structure of our Union of two governments"
JK NYERERE, 1995
4. "Muundo wa Muungano wetu pamoja na kwamba hatutaki uwe ukitibuliwa-tibuliwa mara kwa mara ni suala la sera si amri ya Mungu. Vyama vya siasa vinawezakua na maoni mbali mbali kuhusu muundo unaofaa katika katiba ya nchi. Muundo utakaokubaliwa na wengi ndio utakaokua sehemu ya katiba ya nchi"
JK NYERERE -"UONGOZI WETU NA HATMA YA TZ, 1995"
5."The Islanders are very much in favour of the Union. It is possible that there are a few people who are opposed to it, and it is not that they do not love the country but it is because they love themselves more.... After the revoluton, very many young people especially from Pemba, migrated to DSM where they ventured into business and were very successful...Some of these Pembans nowadays have fleets of taxis, some own beautiful houses in DSM. The majority of houses situated at Sharif Shamba are owned by Zanzibaris from Pemba. They are not interefered with, they are not harrassed. These opportunities were not there before. Could these very people be against the union? IT is possible there are a handful of people who are against it. But noise and disturbances are like salt-it does not have to be much for one to get the feel or the taste of it"
A.H. MWINYI-AFRICA EVENTS; THE MERCHANT OF HOPE, JUNE-JULY 1988
6."The Spice Island of Zanzibar is becoming a cake too hot to be handled by Tanzania's Union Govt, the Isles Govt itself and the ruling CCM Party"
AFRICAN CONCORD"RUMBLE ON THE ISLAND, 14th June 1988
7. "Do we need this cow named Union? It is probable that if we had a referendum right this minute, Zanzibaris would overwhelmingly veto to dissolve the union thereby slaughtering our most sacred of all political cows and skewering CCM right through its Unionist heart.."
THE EAST AFRICAN, 2nd june 2012
8. "Both sides of the Union are inhabited by one people. Only the colonial history, wheich put ZNZ under British rule and the mainland under Germany rule, separated ZNZ and TG. If we, who are essentially one people, can not unite properly, we are worse hypocrites than the rest of all Africans.."
HON. B. MKAPA, 26.4.2004
9. "Tunataka Muungano wetu uendelee kua imara. Kazi yetu sasa ni kuuimarisha. Mambo madogomadogo hayawezi kuuvunja. Makosa yetu ni kua viongozi hawakai kitako kuyazungumza. Unadhani wakati ule wa Nyerere na Karume kulikua hakutokei matatizo? Yalikuwepo mengi na mengine tukiwaambieni mtashtuka. Lakini watu wazima walikua wakikaa kitako na kuyazungumza na yanakwisha. Karume aliwahi kusema -"Muungano ni kama koti, likikubana unalivua" maana yake husemi barabarani utasema kwenye vikao lakini ikifika mahali unamwambia mwenzako na hataki unafanyaje? Unavua koti"
10. " If the mass of the people of ZNZ should, without external manupulation, and for some reason of their own, decide that the union was prejudicial to their existance, I could not bomb them into submission... The union would have ceased to exist when the consent of its constituent membere ws withdrawn"
JK NYERERE IN 1968 AS QUOTED IN "RETURN TO TZ", 2005 P. 45
11. "Mimi nikiwa Katibu wa Bunge niliitwa na Rais wa TG, Mwalimu Nyerere Ikulu tarehe 20 April 1964, siku mbili tu kabla ya kusainiwa makubaliano ya Muungano ambapo aliniagiza niwaite wabunge wote wafike kabla ya mwisho wa wiki hiyo. Nilipokwenda kutoa taarifa kua wabunge wote wamefika niliambiwa niwafahamishe kikao kitafanyika 25.4.1964. Hatimaye siri ilitoka tar 24.4.1964 baada ya mkataba wa muungano kua umesainiwa jana yake baada ya gazeti jipya la TANU "THE NATIONALIST" lililokua linachapishwa kwa lugha ya kiingereza ambalo ndilo pekee lililotangaza habari hizo katika ukurasa wake wa mbele."
PIUS MSEKWA -UONGOZI NA UTAWALA WA NYERERE, 2012 P.83
12. "The Act of the union between TG and ZNZ in 1964 was an emergency act; we hastened to unite because we recognized that only speedy initiative could achieve unity"
JK NYERERE in his speech in the National Assembly on 16th June 1972. UAMUZI WA BUSARA 1972.
13. "It was the morning of 22nd April 1964 when the President of TG, JK Nyerere arrived in Zanzibar. He came with a copy of Treat propasals prepared in TG. I was not at the State House in ZNZ at the signing. I was in Pemba that morning on official duties and when I came back for the first time I was informed by President Karume about the union. What he told me was that TG and ZNZ were united that morning and President Nyerere shall be the Union President, and he Karume shall be the VP and the union shall be confirmed in Dar Es salaam on 26th April 1964"
A. JUMBE" THE PARTNERSHIP-TG-ZNZ UNION"30 TURBULENT YEARS, 1994
14. "Our first concern was the growing communist presence, and second the danger of the cold war..The problem was how to isolate ZNZ from Eastern countries, yet not to be used by west for its purpose.."
O. KAMBONA AS QUOTED BY J KABUDI IN "THE UNITED REPUBLIC OF TZ AFTER A QUARTER OF A CENTURY, P. 314
15. "The TG and ZNZ Union has brought strength to the Island and has protected them from external enemies who were trying to sabotage the fruits of the revolution"
A.A. KARUME 18 AUGUST 1964 AS QUOTED BY PROF B. SRIVASTAVA IN "THE CONSTITUTION OF TZ, SOME SALIENT FEATURES, SOME RIDDLES, 1983 P. 11
16. "Since the beginning of the 2012/2013 budget discusion in Zanzibar, the issue of the disatisfaction with the Union has dominated the debates with some legislators saying openly that they are not interested in the Union. Both CCM and CUF members eg SALUM JUMA-CUF-WAWI, MAKAME MBARUK-CCM-KITOPE, ASHA MAKAME-CCM WOMEN, ISMAIL LADU-CUF MJIMKONGWE, have criticised the Union urging "It has not been beneficial to ZNZ"
THE DAILY NEWS, 27th JUNE 2012.
17. "Muungano wa TG na ZNZ ni sawa na ndoa. Haiwezekani mtu aendelee kua kwenye ndoa huku polepole anaanza kudai yafuatayo...1.Anataka kulala chumba chake, 2. Apewe sebule yake, 3. Apewe bajeti yake, 4. ARUDISHIWE JINA LAKE KABLA YA NDOA, 5. Apewe ruhusa ya kuhusiana na mtu yeyote nje ya ndoa. Hakuna mtu aliyetimamu ataruhusu mme/mke afanye mambo hayo kwa kisingizio cha "KUIMARISHA NDOA!"
L. MWANANZILA"WANALIVUNJA TAIFA KWA KISINGIZIO CHA KUIMARISHA MUUNGANO, RAIA MWEMA, 18.8. 2010
18. "MY Greatest success is also my greatest disappointment. We have establishes a nation-Tanzania-that is some achievement. Stable, united, proud with immense clarity of what it wants to do, committed to the liberation of our continent. It has played an immense role-poor as it is in the liberation of our continent and will continue playing it. So that is what I think is our greatest achievement. But is also our failure. I never wanted a Tanzania. I really did not believe that these African creatures should establish different Sovereign-ties. They are artificial creations, all of them."
J.K. NYERERE, AFRICA REPORT, 30th November 1985 immediately after nyerere retired.
19. "Msitunyonye bana nyie! Msituadhiri bana, tuachaneni angalau tujikun'gute kidogo! Tumekua mafukara, mtu mwenye miaka 13 amepinda mgongo kama mtu wa miaka 75 !!! Tunachotaka sasa mtuachie tupumue"
MUADHARA WA UAMSHO, 4 MARCH 2012
20. "If we win, I see no reason to stay in the Union. Zanzibaris have not yet benefitted from it one bit. I would go to the Mainland and start talks on a program to move towards full independence.."
SEIF SHARRIF HAMAD, "TIME MAGAZINE" 6th October 2010.
Sasa wakuu, hizi quotes zinaonyesha pasipo shaka mambo yafuatayo;
1. Muungano huu ulikua (a) Wa Kimagumashi
(b) Wa Fastafasta
2. Wananchi hawakushirikishwa
3. Viongozi wengi hawakujua
4. Muungano unawezakuvunjwa kama quote moja ya Nyerere hapo juu isemavyo
5. Viongozi na wananchi hasa wa ZNZ (sina idadi) wanaupinga sana
HII IMEKAAJE GREAT THINKERS?
1. "Tarehe 13 April 1964, Karume alimwambia Katibu wa Baraza la Mapinduzi Salim Rashid kwamba Mwalimu Nyerere, Rais wa Tanganyika alimpigia simu akimtaka aende DSM. Keshoye Karume na Salim wakaenda. Walipofika Ikulu, Nyerere huku akimwangalia Salim akawaambia wasaidizi wake-"Mpeni gari Salim akanyoe ndevu". Salim akaondoka. Mbali ya Marais hao wawili hakuna mtu anaejua kwa uhakika ni nini kilijiri kati yao sebuleni Ikulu"
GAZETI LA RAIA MWEMA NO 225 (8.2.2012)
2. "I casually told Sheikh Karume that "I have told President Kenyata that any time when Kenya is ready, we in Tanganyika are ready to unite our two countries. I have communicated the same to Obote. Iam telling you the same. Once you are ready let us unite our countries. And Karume immediately replied "Mwalimu, what do you mean by being ready? I am ready now. Summon the press tell them now that we are uniting our two countries into one, one government and you are the leader. But I told Karume to wait a bit as it was too early for the press to be informed.."
JK NYERERE . This is a translated Nyerere's HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM NA RAIS WA TANZANIA'1 FEBRUARY 1984; TAARIFA YA KAZI ZA CHAMA (1982-1984) UK WA 52
3. "When TG and ZNZ agreed to form one sovereign state we could have adopted one of the usual structures of unity when two countries unite to form one country. But we felt unable to do so because of the small size of ZNZ relative to that of TG. ZNZ had at that time 300 000 people. A union with one Govt would give the impression that TG had swallowed up ZNZ. A Federation of 3 Govts would have been too costly. That is the origin of the structure of our Union of two governments"
JK NYERERE, 1995
4. "Muundo wa Muungano wetu pamoja na kwamba hatutaki uwe ukitibuliwa-tibuliwa mara kwa mara ni suala la sera si amri ya Mungu. Vyama vya siasa vinawezakua na maoni mbali mbali kuhusu muundo unaofaa katika katiba ya nchi. Muundo utakaokubaliwa na wengi ndio utakaokua sehemu ya katiba ya nchi"
JK NYERERE -"UONGOZI WETU NA HATMA YA TZ, 1995"
5."The Islanders are very much in favour of the Union. It is possible that there are a few people who are opposed to it, and it is not that they do not love the country but it is because they love themselves more.... After the revoluton, very many young people especially from Pemba, migrated to DSM where they ventured into business and were very successful...Some of these Pembans nowadays have fleets of taxis, some own beautiful houses in DSM. The majority of houses situated at Sharif Shamba are owned by Zanzibaris from Pemba. They are not interefered with, they are not harrassed. These opportunities were not there before. Could these very people be against the union? IT is possible there are a handful of people who are against it. But noise and disturbances are like salt-it does not have to be much for one to get the feel or the taste of it"
A.H. MWINYI-AFRICA EVENTS; THE MERCHANT OF HOPE, JUNE-JULY 1988
6."The Spice Island of Zanzibar is becoming a cake too hot to be handled by Tanzania's Union Govt, the Isles Govt itself and the ruling CCM Party"
AFRICAN CONCORD"RUMBLE ON THE ISLAND, 14th June 1988
7. "Do we need this cow named Union? It is probable that if we had a referendum right this minute, Zanzibaris would overwhelmingly veto to dissolve the union thereby slaughtering our most sacred of all political cows and skewering CCM right through its Unionist heart.."
THE EAST AFRICAN, 2nd june 2012
8. "Both sides of the Union are inhabited by one people. Only the colonial history, wheich put ZNZ under British rule and the mainland under Germany rule, separated ZNZ and TG. If we, who are essentially one people, can not unite properly, we are worse hypocrites than the rest of all Africans.."
HON. B. MKAPA, 26.4.2004
9. "Tunataka Muungano wetu uendelee kua imara. Kazi yetu sasa ni kuuimarisha. Mambo madogomadogo hayawezi kuuvunja. Makosa yetu ni kua viongozi hawakai kitako kuyazungumza. Unadhani wakati ule wa Nyerere na Karume kulikua hakutokei matatizo? Yalikuwepo mengi na mengine tukiwaambieni mtashtuka. Lakini watu wazima walikua wakikaa kitako na kuyazungumza na yanakwisha. Karume aliwahi kusema -"Muungano ni kama koti, likikubana unalivua" maana yake husemi barabarani utasema kwenye vikao lakini ikifika mahali unamwambia mwenzako na hataki unafanyaje? Unavua koti"
10. " If the mass of the people of ZNZ should, without external manupulation, and for some reason of their own, decide that the union was prejudicial to their existance, I could not bomb them into submission... The union would have ceased to exist when the consent of its constituent membere ws withdrawn"
JK NYERERE IN 1968 AS QUOTED IN "RETURN TO TZ", 2005 P. 45
11. "Mimi nikiwa Katibu wa Bunge niliitwa na Rais wa TG, Mwalimu Nyerere Ikulu tarehe 20 April 1964, siku mbili tu kabla ya kusainiwa makubaliano ya Muungano ambapo aliniagiza niwaite wabunge wote wafike kabla ya mwisho wa wiki hiyo. Nilipokwenda kutoa taarifa kua wabunge wote wamefika niliambiwa niwafahamishe kikao kitafanyika 25.4.1964. Hatimaye siri ilitoka tar 24.4.1964 baada ya mkataba wa muungano kua umesainiwa jana yake baada ya gazeti jipya la TANU "THE NATIONALIST" lililokua linachapishwa kwa lugha ya kiingereza ambalo ndilo pekee lililotangaza habari hizo katika ukurasa wake wa mbele."
PIUS MSEKWA -UONGOZI NA UTAWALA WA NYERERE, 2012 P.83
12. "The Act of the union between TG and ZNZ in 1964 was an emergency act; we hastened to unite because we recognized that only speedy initiative could achieve unity"
JK NYERERE in his speech in the National Assembly on 16th June 1972. UAMUZI WA BUSARA 1972.
13. "It was the morning of 22nd April 1964 when the President of TG, JK Nyerere arrived in Zanzibar. He came with a copy of Treat propasals prepared in TG. I was not at the State House in ZNZ at the signing. I was in Pemba that morning on official duties and when I came back for the first time I was informed by President Karume about the union. What he told me was that TG and ZNZ were united that morning and President Nyerere shall be the Union President, and he Karume shall be the VP and the union shall be confirmed in Dar Es salaam on 26th April 1964"
A. JUMBE" THE PARTNERSHIP-TG-ZNZ UNION"30 TURBULENT YEARS, 1994
14. "Our first concern was the growing communist presence, and second the danger of the cold war..The problem was how to isolate ZNZ from Eastern countries, yet not to be used by west for its purpose.."
O. KAMBONA AS QUOTED BY J KABUDI IN "THE UNITED REPUBLIC OF TZ AFTER A QUARTER OF A CENTURY, P. 314
15. "The TG and ZNZ Union has brought strength to the Island and has protected them from external enemies who were trying to sabotage the fruits of the revolution"
A.A. KARUME 18 AUGUST 1964 AS QUOTED BY PROF B. SRIVASTAVA IN "THE CONSTITUTION OF TZ, SOME SALIENT FEATURES, SOME RIDDLES, 1983 P. 11
16. "Since the beginning of the 2012/2013 budget discusion in Zanzibar, the issue of the disatisfaction with the Union has dominated the debates with some legislators saying openly that they are not interested in the Union. Both CCM and CUF members eg SALUM JUMA-CUF-WAWI, MAKAME MBARUK-CCM-KITOPE, ASHA MAKAME-CCM WOMEN, ISMAIL LADU-CUF MJIMKONGWE, have criticised the Union urging "It has not been beneficial to ZNZ"
THE DAILY NEWS, 27th JUNE 2012.
17. "Muungano wa TG na ZNZ ni sawa na ndoa. Haiwezekani mtu aendelee kua kwenye ndoa huku polepole anaanza kudai yafuatayo...1.Anataka kulala chumba chake, 2. Apewe sebule yake, 3. Apewe bajeti yake, 4. ARUDISHIWE JINA LAKE KABLA YA NDOA, 5. Apewe ruhusa ya kuhusiana na mtu yeyote nje ya ndoa. Hakuna mtu aliyetimamu ataruhusu mme/mke afanye mambo hayo kwa kisingizio cha "KUIMARISHA NDOA!"
L. MWANANZILA"WANALIVUNJA TAIFA KWA KISINGIZIO CHA KUIMARISHA MUUNGANO, RAIA MWEMA, 18.8. 2010
18. "MY Greatest success is also my greatest disappointment. We have establishes a nation-Tanzania-that is some achievement. Stable, united, proud with immense clarity of what it wants to do, committed to the liberation of our continent. It has played an immense role-poor as it is in the liberation of our continent and will continue playing it. So that is what I think is our greatest achievement. But is also our failure. I never wanted a Tanzania. I really did not believe that these African creatures should establish different Sovereign-ties. They are artificial creations, all of them."
J.K. NYERERE, AFRICA REPORT, 30th November 1985 immediately after nyerere retired.
19. "Msitunyonye bana nyie! Msituadhiri bana, tuachaneni angalau tujikun'gute kidogo! Tumekua mafukara, mtu mwenye miaka 13 amepinda mgongo kama mtu wa miaka 75 !!! Tunachotaka sasa mtuachie tupumue"
MUADHARA WA UAMSHO, 4 MARCH 2012
20. "If we win, I see no reason to stay in the Union. Zanzibaris have not yet benefitted from it one bit. I would go to the Mainland and start talks on a program to move towards full independence.."
SEIF SHARRIF HAMAD, "TIME MAGAZINE" 6th October 2010.
Sasa wakuu, hizi quotes zinaonyesha pasipo shaka mambo yafuatayo;
1. Muungano huu ulikua (a) Wa Kimagumashi
(b) Wa Fastafasta
2. Wananchi hawakushirikishwa
3. Viongozi wengi hawakujua
4. Muungano unawezakuvunjwa kama quote moja ya Nyerere hapo juu isemavyo
5. Viongozi na wananchi hasa wa ZNZ (sina idadi) wanaupinga sana
HII IMEKAAJE GREAT THINKERS?