MMU hot talk

MMU hot talk

Mume utampata wapi hapo umezalishwa watoto na bora wangekuwa na baba mmoja hahahahahahahaaaaa, chezea waume za watu.

Bibi la bibi usikate tamaaa mbona Natasha kapata wakumfuta machozi uzeeni, afu nakuomba usitubemendee waume zetu watarajiwa sie wa 20s.
:llama::llama::llama::llama:
 
Achana naye huyo nishamuignore kitambo, anajitahidi kuniquote na kujiongelesha mwenzie wala napeperusha Bendera, kuna watu wanastress zao wanatafuta kwa kutolea.

what a good talk angelita..
uko poa?
 
Last edited by a moderator:
Liwepo tu , chuki na unafki wa watu watatu au wawili usitunyime Uhuru humu...... Hayo mambo yapo kote kote ila kuna watu wapo tu kwenye denial period . ni kama walishawahi kuumwa na nyoka sasa wakiguswa na jani tu ishu.

Likiwepo watu wanaeza wasijibu ukweli kuepuka attacks otherwise awe mtu anaeweza ku handle attacks zozote zile kama angelita..

Hot talk huwa zinakua siki gani nianze kufatilia
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaa... Na wasione kweli.
Nakumbuka nilikuwa na miaka 17 nilikuwa kidato cha nne(msitake kujifanya mapema). Kiwango changu kimekuwa kwa kiasi kikubwa sana, kadiri siku zinavyosonga najifunza na kuibua mambo mapya.

seriously we mkaliiiiii......
 
Lara1 acheni ugomvi bwana...sio kwamba kuna mshindi...we don want this to get any uglier....kihoja NK aliwashinda,ugomvi mmeshinda...haya u are all winners

MLIVOKUWA MNA MSULUBISHA ANGELITA SIO UGOMVI ULEEEEEEEE? Aaaaaaaaahhhhhh! Zile hoja tuuuuuuu eeeeeeeeeh! MKUKI KWA ANGELITA KWA WENGINE MCHUNGUUUUUUUUU!

Mtoto wa watu kajikaza sanaaaaa, toka juzi mnamtukana DOUBLE DOUBLE TOKA KILA UPANDE! MBONA HUKUSEMA SIO VIZURI KUMNYANYASA MTOTO TENA WAMEZIDI KARIBIA 20 YRS? ULIKUWA WAPI?

SAIVI ANAWAVUA NGUA WATU WAZIMA HAPA KWA SUPPORT YA WATU WALIOCHUKIZWA NDO MNALETA USULUHISHI EEEEEEEEH! Acheni kupendelea!
 
MLIVOKUWA MNA MSULUBISHA ANGELITA SIO UGOMVI ULEEEEEEEE? Aaaaaaaaahhhhhh! Zile hoja tuuuuuuu eeeeeeeeeh! MKUKI KWA ANGELITA KWA WENGINE MCHUNGUUUUUUUUU!

Mtoto wa watu kajikaza sanaaaaa, toka juzi mnamtukana DOUBLE DOUBLE TOKA KILA UPANDE! MBONA HUKUSEMA SIO VIZURI KUMNYANYASA MTOTO TENA WAMEZIDI KARIBIA 20 YRS? ULIKUWA WAPI?


SAIVI ANAWAVUA NGUA WATU WAZIMA HAPA KWA SUPPORT YA WATU WALIOCHUKIZWA NDO MNALETA USULUHISHI EEEEEEEEH! Acheni kupendelea!

:cool2::cool2::cool2::llama::llama::llama::flame::flame::flame:
 
Likiwepo watu wanaeza wasijibu ukweli kuepuka attacks otherwise awe mtu anaeweza ku handle attacks zozote zile kama angelita..

Hot talk huwa zinakua siki gani nianze kufatilia

aisee mi ndiyo naiona sasa hivi.. miss neddy na yeye kwa mambo ya kimya kimya hajambo..

real angelita kahendle hii kitu kwa uzuri kabisa..
japo sijaweza kufuatilia page zote
 
Last edited by a moderator:
Jamani Angelita yaishe....punguzeni jazba...hii ni internet tu....yaani imekua all out war kabisa....yaishe jamani

Ndugu na wewe nikusifu umekua kwenye huu mjadala mwanzo mwisho... ume participate ipasavyo KUDOS kwako
 
Mdogo wangu huyu lara 1 ana miaka 50 halafu anajitia 30.
chezea real life uswazi at her age the only assets which she have is her laptop..
Halafu mdogo wangu una 23 una kiwanja kiromo na msingi juu mkoko ndo unaelea Indian ocean lazima grand maaa lara 1 ashinde online 2 days......

Huree mdogo wangu na miezi 3 midogo ongezea mwaka akufungulie na kampuni umuajiri first born wa lara1

Afu inabidi unipongeze mdogo wako miaka 3 bila kuzalishwa si mchezo.

Bibi labibi alijua akizaa walau anaweza kufanywa official Nyumba ndogo wapi jamaa kaenda kwa mkewe.
 
Last edited by a moderator:
Likiwepo watu wanaeza wasijibu ukweli kuepuka attacks otherwise awe mtu anaeweza ku handle attacks zozote zile kama angelita..

Hot talk huwa zinakua siki gani nianze kufatilia

KIGEZO CHA KUALIKWA HOT TALK UWE TAYARI KUWEKA ALL CARDS ON THE TABLE!!!!!!!!! Kamamnafiki huqualfy kualikwaaa! Wala hutoalikwaaa! lengo la shoo ni kuwapa watu chansi TO BE THEMSELVES DESPITE UNAFIKI NAFIKI WOTE WA JF!
Swali litakuwepo na litajibiwa HONESTLY nsababu mgeni rasmi lazima AWE HONEST PERSON!
 
aisee mi ndiyo naiona sasa hivi.. miss neddy na yeye kwa mambo ya kimya kimya hajambo..

real angelita kahendle hii kitu kwa uzuri kabisa..
japo sijaweza kufuatilia page zote
Kweli mkuu ila kama ujuavyo kuwaridhisha binadamu wote kazi kweli kweli..... Hali ya hewa imechafuka ukiondoa page za mwanzo.
 
Last edited by a moderator:
lara 1 already woozy and funky...just cool off
your natural persona's aint that much worse...
 
Mkuu hawa washaanza ugomvi wa wanawake....bitter single ladies vs married ladies....it is getting ugly....thread ishabakwa tayari
 
Likiwepo watu wanaeza wasijibu ukweli kuepuka attacks otherwise awe mtu anaeweza ku handle attacks zozote zile kama angelita..

Hot talk huwa zinakua siki gani nianze kufatilia
Mm ndo nimeiona leo kwa Mara ya kwanza , nasikia ijumaa.....
Watafunguka tu , hot talk is for hot individuals..... Kwani kuna mtu anampatia pumzi mwenzake humu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom