MMU hot talk

MMU hot talk

Kwa mara ya kwanza chokoraa umeongea kitu cha maana.

Haya mawazo utakuwa umeyatoa wakati ukiwa haujaweka kiroba na ile kitu nyingine ya kaskazini.

I like I like I like.... comment bila kiroba inawezekana Big Up!!
Acha uchokozi Phlagiey
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa uzi jirani yangu miss neddy nimegundua jambo hapa, ujue nyie vijana mna mambo mengi sana kuna wakati inakuwa ngumu kuwasoma lakini kwa nafasi chache kama hizi tunayapitia mawazo yenu na kuwajenga wengine huku mitaani wasiingie kwenye mikumbo.

angelita popote ulipo salamu yangu ukifikie, seme neno moja tu na siku yangu itakuwa njema kama neema ya mvua kwa mkulima. LOL!!
 
Hasa ukiwa DUME LA MBEGU! Hahahaaaaaaaaa! Mtu mkeo kakugeuza godoro kichwani unafikiri mambo haya utayaweza? Thubutuuuuuuuuuuuu!

WE LIVE ONLY ONCE AND IF YOU LIVE WELL ONCE IS ENOUGH!:A S wink::A S wink::A S wink:

Ndio katiba pendekezwa inavyotaka 50/50 he/she. Kutubana ni haki yao na kuchepuka kwetu ni weledi wetu na uzembe wao.
 
Siyo uchokozi mr Eli79

Matola ni chokoraa kweli, halafu kuna kautani kwambaliiii fulani hivi, ujue simba akizeeka hata swala humchezea sharubu ngoja nichezee chezee sharubu za huyu chokoraa, maana kitambo alishanipaga mibango hapa nafanya kulipiza mdogo mdogo, maana najua simu anayotumia sasa hivi hai-post comment za matusi akijaribu inazimika.
 
Asante kwa uzi jirani yangu miss neddy nimegundua jambo hapa, ujue nyie vijana mna mambo mengi sana kuna wakati inakuwa ngumu kuwasoma lakini kwa nafasi chache kama hizi tunayapitia mawazo yenu na kuwajenga wengine huku mitaani wasiingie kwenye mikumbo.

angelita popote ulipo salamu yangu ukifikie, seme neno moja tu na siku yangu itakuwa njema kama neema ya mvua kwa mkulima. LOL!!

Huku hukutakiwa kupita kabisa Phlagiey salamu zako zimenifikia nikaja mbio mbio. Kuna mtu aliazima ID yangu.
 
Last edited by a moderator:
Jamani mimi naitwa benteke. Nilikua naomba kujua anayeulizwa anakunywa phombe? kama ndio, alianza lini? na anapendelea kinywaji gani....pia kama Alisha wai tumia sigara pamoja na kali yake. Hasante.
 
Siyo uchokozi mr Eli79

Matola ni chokoraa kweli, halafu kuna kautani kwambaliiii fulani hivi, ujue simba akizeeka hata swala humchezea sharubu ngoja nichezee chezee sharubu za huyu chokoraa, maana kitambo alishanipaga mibango hapa nafanya kulipiza mdogo mdogo, maana najua simu anayotumia sasa hivi hai-post comment za matusi akijaribu inazimika.

Kweli lazima nikubari uzee unabisha hodi maana hata nikiwa na million ni kama buku tu, anayekataa umri hiyo kazi namuachia Le Mutuz.
 
Na wewe ni mfuata mkumbo wa vitimbakwiri? Mimi siyo muhaya nawajuwa Wahaya watatu tu hapa JF,

1. Maxence Melo

2. Jamal Malinzi

3. Rutashoborwa

Mi nimesema tu...mana nimezoea hiyo ni tabia ya kihaya wala sijawahi kujua we ni kabila gani
 
Back
Top Bottom