nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Watu wanauliza eti mumeo unamuhudumia saa ngapi?????? Mana wanadai uliwaambia wewe mke wa mtu wanashangaa toka asubuhi hadi saa4 upo hapa wabshana na kitoto, haukawii kusema uko uko safarini kikazi ndomana huko huru hehehehweeeeeeee wajibu wadau mie mjumbe tu.
Watu ndio nani?
hana computer au simu?
Kwa nini unamuulizia...?
Nshasema mjipange...
Kumpa za uso NK unatakiwa uwe umepitia kozi...
Bado bado bado saaana....:llama:
Thank you my dad kwa kunifunza staili za kigaidi...hakuna anayemuweza NK...lol
Rudisha feedback kwenye hicho kikao...mjipange muje upya...