good question Tee Bag especially no4 ngoja aje ajibu
Unamjuwa vizuri huyo jamaa au ndoa yako unataka kuiweka majaribuni?
Hahahaa haaaa
Nimecheka
Nway najua sio wote wanaweza kuwa wawazi...
Btw humu hakuna soko utaliwa ubaki unalia....Heheeee
Hahahahh comrade hata wewe?? Utaniharibia moves zangu ujue....
Kwa mara ya kwanza chokoraa umeongea kitu cha maana.Naona hapa mtabishana tu mpaka asubuhi lakini ukweli ni kwamba Mwanamke anayechezea usichana wake na waume za watu aje kusubili aolewe na waliofiwa na wake zao au wasiolewe kabisa.
Binti huna kasoro yoyote upo kwenye umri wa kupata mwenza then unamgeuza mume wa mtu ndio kama mumeo, hapa bila kumung'unya maneno ni matatizo ya kukosa maadili kuanzia familia uliyozaliwa au kukataa ukiwa bado mdogo au kuendekeza tamaa za vipoketi money.
Hata mimi kuna wake za watu wananilia timing lakini sina time nao kwa sababu najitambuwa na najuwa madhara yake.
Hahahaa haaaa
Lara1 ss utajuaje km mtu kasema kweli au uongo!
ZIKILIWA ZETU JAMANI! Hamna mwenye ubia wa ya mwenzie! NYIE MNAOLIWA MTAANI MMEPATA NINI? WHERE IS YOUR HAPPY ENDING? Hahaaaa
IT DOESNT MATTER AS LONG AS YUPO OKAY TO STICK HIS NECK OUT FOR HIS GROUNDS! Kisichotakiwa ni unafiki na uzandiki wa kujifanya mwema, huna dhambi wakati UMEOZA hatari! ITS ALL ABOUT CONFIDENCE YA KUCONFESS!
ZIKILIWA ZETU JAMANI! Hamna mwenye ubia wa ya mwenzie! NYIE MNAOLIWA MTAANI MMEPATA NINI? WHERE IS YOUR HAPPY ENDING? Hahaaaa
Ukisema we bikra we ni mwongo....ukisema huna boifrendi we ni mwongo. Hahaaa this is Jf bwana
Huyo ni mtu wangu wa ukweli, ila tatizo la hawa viumbe ukimponda mwenzako ndio kama umempiga chura teke......
Inategemea bikra gani Twin....
Hahahaa haaaa
Lara1 kulikoni. ..
Hahahahahah..... balaaa. Basi endelea kunipondaponda mdogomdogo nijikamatie mabebz. Si umeona waume za watu tunavyoshobokewa na michuchuz?
Hahahahahah..... balaaa. Basi endelea kunipondaponda mdogomdogo nijikamatie mabebz. Si umeona waume za watu tunavyoshobokewa na michuchuz?
Hahahaaaa yupo bizy uyo yani yy na bba damu damu.....we Diva Beyonce kamu ini zisi wei pliiz umjibu swali lakee uyuuu ili alale kwa aman