brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
Mwache afuraie humu...kale kabinti kake kaje kamletee lizee ndio atajua tunaongelea nini humu...
Huwezi kusema kuzini ni kuzini tu...anayevunja ndoa za watu na anayetembea na kijana mwenzie wote ni sawa...
Achana na mambo ya dini...hawa ndio wanatuchafulia jamii...jamii inajengwa na familia si ufuska...period...
Ila kuna watu sipendi hata kuwajibu maana nikishajua tunatofautiana in all aspects why waste my time and energy...
You can say that again...utapoteza muda tu na ushuzi huu...so unakaa kimya tu na kuwa mtazamaji