ajali imetokea tangu saa kumi kasorobo usiku na qwngi wamekufa sababu ya bleeding labda kuna umuhimu wa kuwa na kikosi cha kusaidia ajali sby,,na si kutegemea hawa polisi wetu wa defender walichofanya ni kuja na kushuka na kuangalia watu wakiwa wanakata roho badala ya kuwakimbiza hosp,ni pale kipawa inasikitisha saana.......
Mkuu BabaH hilo gari inasemekana wamegundua lilikuwa haliwaki taa!!hapa alaumiwe nani??matraffick wanaokula rushwa na kushindwa kukagua magari inavyotakiwa ??RIP walikutwa na mauti
Ila Tanzania kuna mambo mengi yanatokea tunakaa kudanganyana tu
Kila siku ajali zinatokea na watu wanakufa, ukijaribu kufanya utafiti ajali hizo ni uzembe tu, sasa kwanini serikali haiingilii kati na kutafuta suruhisho la kudumu jamani?